TANESCO YAMSAIDIA KIJANA ANAYEPUMUA WA MSAADA WA MASHINE YA OXYGEN
KIJANA anayeishi kwa msaada wa mashine ya Oxygen ili kumuwezesha kupumua, Bw. Hamad Awadhi amelishukuru Shirika la Umeme Nchini TANESCO kwa kumpunguzia mzigo wa gharama…
KIJANA anayeishi kwa msaada wa mashine ya Oxygen ili kumuwezesha kupumua, Bw. Hamad Awadhi amelishukuru Shirika la Umeme Nchini TANESCO kwa kumpunguzia mzigo wa gharama…
UONGOZI wa Yanga umewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi Septemba14 ili kuwapa sapoti wachezaji wakipambana kwenye mchezo wa hatua ya kwanza na wa kimataifa kwenye michuano…
Al Jahara Sporting Club ni nchi inayopatikana ndani ya Bara la Asia katika nchi ya Kuwaiti kwenye mji wa Jahra City. Imeshinda taji la Ligi…
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola amejiunga na klabu ya Girona ya Hispania ambayo ilishuka daraja msimu uliopita.Guardiola amejiunga na klabu hiyo kama mwanachama ambayo…
SELEMAN Matola, Kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ amesema wachezaji wameanza kucheza soka linaloeleweka wakiwa uwanjani tofauti na mwanzo jambo linalotoa picha…
HASSAN Mwakinyo, bondia wa ngumi za kulipwa Bongo ambaye ni balozi wa kampuni ya kubashiri ya SportPesa ameiomba Serikali kuongeza nguvu ya uwekezaji kwa upande…
Kila mtu macho kodo kwa punguzo la hadi 36% DStv Premium Sasa ni TZS 129,000/= Kutoka TZS 169,000/= DStv Compact Plus Sasa TZS ni 84,000/=…
MBWANA Samatta, nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ amesema kuwa anawashukuru mashabiki wa Tanzania kwa kutoa sapoti kubwa jana wakati timu ikimenyana…
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa upo tayari kupeperusha bendera ya Taifa Kimataifa kwa kupata matokeo chanya mbele ya Triangle FC ya Zimbabwe.Mchezo huo ambao…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa unajipanga kufanya vema kwenye michuano ya kimataifa inayoandaliwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf) ili kufikia hatua ya makundi kwenye…