Home Authors Posts by Marce Ben Komba

Marce Ben Komba

792 POSTS 0 COMMENTS
Content Creator | Web Specialist Certified by Google | Digital Marketing Officer Certified by Google | Creative Graphic Designer Certified by California institute of the arts | SEO Expert Certified by Hubspot Contact marcekomba@gmail.com

HIZI HAPA KARATA ZA GAMONDI NA UBINGWA LIGI KUU…BACCA ASUGULISHWA BENCHI

0
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amesema licha ya kuwapo kwa ushindani mkubwa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara, wachezaji wake wamekuwa wakipambana uwanjani kusaka...

MMH YANGA YAIBUKA NA MIKAKATI HII HATARI…RAIS AMEFUNGUKA HAYA

0
Rais wa Klabu bingwa Tanzania Bara Young Africans Injinia Hersi Said amesema anataka kuiona klabu hiyo inakuwa katika orodha ya Klabu nne Bora Barani...

CHAMA AMESHAAMUA KUONDOKA SIMBA…SABABU HII YAMPELEKA YANGA…APITIA MISUKOSUKO HII

0
Taarifa ambazo hazijadhibitishwa zinasema kuwa kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba, Clatus Chama huenda msimu ujao akaibukia katika mitaa ya twiga na Jangwani ambapo...

MANARA AIBUKA NA HAYA MAPYA…AWACHANA SIMBA MAKAVU LIVE…ALIVALIA NJUGA JAMBO HILI

0
Suala la kuondoka kwa aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba SC Abdelhak Benchikha na wasaidizi wake Farid Zemit na Kamal Bougnan, limemuibuka aliyewahi kuwa Afisa...

YANGA YAIPIGA KO SIMBA…WAMSAINISHA BEKI HUYU KISIKI…YANASUBIRIWA MAOKOTO TU

0
Mlinzi wa pembeni wa Yanga ambae alikuwepo kwa mkopo kutoka Singida Fountain Gate Nickson Kibabage amesaini mkataba wa miaka mitatu Yanga, makubaliano ya mauzo...

KOCHA YANGA AVUJISHA SIRI HII YA GAMONDI…WACHEZAJI HAWA WAREJEA KUTOKA MAJERUHI

0
Wakati Yanga imebakiza pointi 12 ikiwa ni sawa na mechi nne ili kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa tatu mfululizo, kocha...

TETESI: PACOME AFUNGIWA NA FIFA…KIKWETE AINGILIA KATI…RAIS YANGA AFUNGUKA A-Z

0
Rais wa Klabu ya Yanga, Eng. Hersi Said amefunguka kuhusu madai kuwa mchezaji wa timu hiyo, Pacome Zouzoua raia wa Ivory Coast amefungiwa na...

MASHABIKI SIMBA WAMGEUKIA BOCCO…AONEKANA AKIWA NA KIKOSI B…KILA KITU HIKI HAPA

0
Heshima aliyojijengea nahodha wa Simba, John Bocco tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara mwaka 2008 hadi 2024, inawafanya mashabiki kuyafuatilia maisha yake na kutaka kujua...

AISEE!! BENCHIKAH ALIKUWA NA HILI LA MOYONI…KUMBE AIBWAGA SIMBA KWA MSG...

0
Nilipenyezewa wiki iliyopita Abdelhak Benchikha alikuwa amemtumia meseji ya simu ya mkononi bosi mmoja mkubwa wa Simba akimwambia anataka kuondoka klabuni hapo muda wowote kuanzia sasa. Alikuwa...

TIMU HII BONGO YAREJEA LIGI KUU BAADA YA MIAKA 22…WARUDI KWA...

0
TP Lindanda wana Kawekamo timu ya Pamba Jiji FC imerejea tena Ligi Kuu Bara na kuwakata kiu mashabiki wa soka wa Jiji la Mwanza...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS