Marce Ben Komba
UCHAGUZI WAITIKISA SIMBA SC…WANACHAMA WAMCHAGUA MWENYEKITI….MATABAKA YAZALIWA
Kinachoendelea Simba leo ni matokeo mchakato wa uchaguzi Mkuu uliopita.
Uchaguzi ambao ulikuwa na makundi makuu mawili, kundi la waliokuwa wanamuunga mkono Wakili Karua na...
FAHAMU SIRI HII NZITO…ILIYOJIFICHA KWENYE MAFANIKIO YA YANGA…TIMU ILIKUWA HAINA MWENYEWE
Yanga kufanya vizuri ndani na nje ya nchi hakutokei kama bahati, ni mipango, uwekezaji, umoja na utulivu walionao kwa sasa kama klabu.
Kwa sasa Yanga...
SIMBA BADO INA NAFASI KUBWA MBIO ZA UBINGWA…YANGA WAJIPANGE KWA HILI
Simba haijafanya vibaya kama ambavyo inazungumzwa, imetolewa kwenye Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ambayo imekuwa kikwazo kwao kwa misimu kadhaa mfululizo.
Kwenye...
KUELEKEA KARIAKOO DABI….BOSI YANGA AFUNGUKA SIRI HII…BAADA YA KUTUA DAR
Baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam kutokea Mwanza katika pambano lao dhidi ya Singida Fountain Gate,...
NINJA AFUNGUKA A-Z ISHU YA FEI TOTO…KUMBE ALIMCHANA KIONGOZI YANGA…AMPIGIA SALUTI...
BEKI wa Lubumbashi Sport ya DR Congo, Mtanzania Abdallah Shaibu 'Ninja' kuna jambo amejifunza kutokana na kupata nafasi ya kucheza nje kwa awamu mbili...
ISHU NZIMA YA BENO KAKOLANYA IPO HIVI…UONGOZI SINGIDA FG WATEMA CHECHE…KOCHA...
BAADA ya taarifa za nahodha wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya kutoweka kambini saa chache kabla ya mchezo
dhidi ya Yanga katika Uwanja wa CCM...
RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA…ATUHUMIWA KUPANGA MATOKEO NA UPENDELEO…KIKAANGONI CAF
Rais wa Shirikisho la soka Cameroon (Fecafoot), Samuel Eto'o,
aitwa na shirikisho la soka Afrika (CAF) April 17 kujieleza kuhusiana na tuhuma za upangaji wa...
HII SASA NOMA…YANGA YAMPANDISHA SANGOMA NDEGE…JEMEDARI SAID AFUNGUKA A-Z
Mchezaji wa zamani wa Kariakoo Lindi, Mukura Victory ya Rwanda, 82 Rangers na Kahama United zote za Shinyanga, Vijana ya Ilala, Dar es Salaam...
SIMBA KIMEUMANA…KOCHA ATEMA CHECHE HATARI…YANGA WATAJWA
KOCHA wa viungo wa Simba, raia wa Rwanda, Corneille Hategekimana ametoa onyo kali kwa wapinzani katika Ligi Kuu Bara wakiwemo Yanga na kutakuwa na...
KISA UMEME KUKATIKA MECHI YA YANGA…MHANDISI MKUU WA UMEME NA WENGINE...
Serikali imewasimamisha kazi watumishi saba akiwemo Kaimu Meneja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Salum Mtumbuka kufuatia hitilafu ya kuzimika kwa taa katika uwanja huo...