UPDATE : INONGA HAJAVUNJIKA HALI YAKE IKO HIVI
Taarifa mpya kutoka ndani ya Simba SC ni kwamba beki wao Henock Inonga anaendelea vizuri na kwamba hajavunjika. Inonga aliumia kwenye mchezo dhidi ya Coastal…
Taarifa mpya kutoka ndani ya Simba SC ni kwamba beki wao Henock Inonga anaendelea vizuri na kwamba hajavunjika. Inonga aliumia kwenye mchezo dhidi ya Coastal…
Beki kisiki wa Simba SC, Henock Inonga amejikuta akikimbizwa hospitali baada ya kupata majeraha wakati wa mechi dhidi ya Coastal Union inayoendelea leo Septemba 21…
Ilikuwa mechi nzuri ya Ligi Kuu ya NBC, Yanga dhidi ya Namungo huku Yanga akishinda mchezo wa tatu mfululizo na kushinda mechi zote na kufikisha…
Straika wa Simba SC, Jean Baleke amesema leo, watawashushia mvua ya magoli Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Simba SC anashuka dimbani…
Kocha wa Zamani wa Simba SC Jamhuri Kiwelu Julio amefunguka kuhusu swala la mabeki waaandamizi Shomary Kapombe na Mohammed Hussein kuwa wamechoka yeye anaamini ninkweli…
Daktari wa Klabu ya Yanga, Moses Etutu, amebainisha kwamba, beki wa kushoto wa timu hiyo, Joyce Lomalisa Mutambala atakuwa nje ya uwanja kwa takribani siku…
Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Alhamisi, Septemba 21, 2023 kwa michezo miwili kupigwa Dar es Salaam. ‘Wekundu wa Msimbazi’, Simba itakuwa mwenyeji wa ‘Wanamangushi’,…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Timu ya Yanga wameibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Namungo Katika Uwanja wa Azam Complex leo…
Ombi la Simba kutumia Uwanja wa Azam Complex katika mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union, utakaopigwa kesho limegonga mwamba kwa kile…