Staff Desk
KWA REKODI HIZI SIMBA WASHINDWE WENYEWE TU
Wakati kocha Abdelhak Benchikha akisisitiza mechi ya leo ni sawa na fainali kwao, rekodi za Wydad kwenye mechi 10 za karibuni ugenini zinafufua matumaini...
KOCHA YANGA AWAAMSHIA MASTAA, KISA HIKI HAPA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema kila mchezaji aliye ndani ya kikosi cha Yanga ana umuhimu na ubora, huku akisisitiza kuwa mchezo wa...
YANGA PRINCESS SASA WATUA KENYA KWA JAMBO HILI
BAADA ya kumaliza mshindi wa tatu kwenye michuano ya Ngao ya Jamii kwa wanawake iliyofanyika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi na Simba Queens kuibuka...
YANGA NAO WAJIPANGA HIVI DHIDI YA MADEAMA
Uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa sasa hesabu zao ni kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana.
Huo ni...
BENCHIKHA AFUNGUKA JINSI WATAKAVYOCHUKUA POINTI TATU MBELE YA WYDAD
Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha amesema anafahamu mchezo wa leo dhidi ya Wydad AC itakuwa ngumu lakini ataingia kwa umakini mkubwa.
Amesema, mchezo...
YANGA NA MCHONGO HUU LIGI YA MABINGWA
Hakuna namna, lazima kushinda na tusifungwe, ni kauli za makocha na wachezaji wa zamani wakiueleza mchezo wa kesho wa Simba na Wydad na ule...
MAKOCHA WAPIGANA MIKWARA YA HATARI LIGI YA MABINGWA
Makocha wa timu za Simba na Wydad AC ya Morocco kila mmoja kwa wakati wake ametamba kufanya vizuri katika mchezo wa leo Jumanne.
Mechi hiyo...
HAWATOKI…… BENCHIKHA WALA HANA PRESHA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
YANGA IWE JUA IWE MVUA MPAKA KIELEWEKE NA STRAIKA HUYU WA...
Kikosi cha Yanga kimerudi mazoezini kujiandaa na mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana utakaopigwa keshokutwa, Jumatano, ikitoka kuiliza Mtibwa...
MAMBO HADHARANI ISHU YA YANGA KUFANYA KIINGILIO BURE
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kutoka EA Radio, Ibra Kasuga amefunguka kuhusu Klabu ya Yanga kuamua mashabiki zake waingie bure kwenye mchezo wao...