Home Authors Posts by Staff Desk

Staff Desk

1810 POSTS 0 COMMENTS

MBRAZILI SIMBA MPYA IMEENEA…. YANGA MPYA HAPO VIPI…

0
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo

BAADA YA YANGA KUFANYA JAMBO LAO SASA NI ZAMU YA GEITA...

0
Hatua hiyo inajiri baada ya Geita kuachana na aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Fredy Felix 'Minziro' baada ya mkataba wake kuisha tangu Mei 28...

MSEMAJI WA YANGA ATAJA SIFA HIZI ZA NAMBA SITA WA YANGA

0
Imeelezwa kuwa Kiungo Mkabaji kutoka nchini Ivory Coast Zougrana Mohamed anayehusishwa na Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans, tayari ametua nchini kumalizana na...

BEKI HUYU KISIKI WA SIMBA ATUA NCHINI KIMYA KIMYA

0
Beki kutoka nchini Cameroon anayehusishwa kutua kwa Wekundu wa Msimbazi Simba Che Fondoh Malone Jr amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu nchini Cameroon...

NABI AFUNGUKA KILICHOMPONZA KAIZER CHIEFS BAADA YA KUONDOKA YANGA

0
WAKATI mashabiki wa Kaizer Chiefs ya Sauzi wakiujia juu uongozi wa klabu hiyo kwa kumteua kocha mzawa,Molefi Ntseki, aliyekuwa kocha wa Yanga Nasreddine Nabi...

KOCHA WA SIMBA AFURAHI KUPATA SAINI YA ONANA, AFUNGUKA MPANGO WAKE

0
Wakati kocha wa Simba, Roberto Oliveira 'Robertinho' akifurahia ujio wa mshambuliaji Leandre Onana kutoka Rayon Sports, nyota huyo anakutana na wakati mgumu katika kuingia...

BAADA YA KIKOSI CHA YANGA KUKOSA MAPUMZIKO….KOCHA WA AZAM NAE AFANYA...

0
Kocha Mkuu mpya wa Azam FC, Youssouph Dabo ameweka wazi ratiba ya mazoezi kwa wachezaji wake ambapo sasa watakuwa wakifanya mara mbili kwa siku...

KIKOSI CHA YANGA KINAZIDI KUMEGUKA…..WENGINE WAWILI KUONDOKA

0
Wakati mashabiki wa Young Africans wakisubiri kwa hamu fujo za usajili mpya ndani ya kikosi chao, timu hiyo iliyopata mafanikio makubwa msimu uliopita inaendelea...

NGAO YA JAMII SAFARI HII HATARI, SIO SIMBA SIO YANGA MAMBO...

0
KABLA ya kuanza kwa Ligi Kuu msimu ujao mwezi Agosti huwa kunakuwa na mechi ya uzinduzi ya Ngao ya Jamii. Mechi hiyo awali ilikuwa ikihusisha...

KOCHA MPYA WA YANGA ATUA BONGO KIBABE, AJA NA MPANGO HUU

0
Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga,Miguel Angel Gamondi amewasili Nchini Alfajiri ya leo tayari kwa maandalizi ya kambi ya kujiandaa na Msimu Mpya yatakayoanza...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS