Staff Desk
AL AHLY WASHIKILIA HESHIMA YA YANGA…. UONGOZI WAFUNGUKA HAYA
Klabu ya Yanga imesema mechi ya Jumamosi dhidi ya Al Ahly imeshikilia heshima yao kwani kama ikiibuka na ushindi itapata sifa kubwa barani Afrika...
YANGA KWENYE KIBARUA KIGUMU
YANGA kesho ina kibarua kigumu kwenye mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri...
KAMA UTANI VILE HERSI ALAMBA SHAVU ACA
RAIS wa Yanga, Hersi Ally Said ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa kwanza wa Chama cha Klabu za Soka Afrika katika mkutano uliofanyika ukumbi wa Marriot...
AL AHLY WATUA NCHINI KUIKABILI YANGA, WAPOKELEWA NA HAPPY NATION
MABINGWA wa Afrika, Al Ahly wamewasili Dar es Salaam usiku wa Alhamisi na kupokewa na basi la Kampuni ya Happy Nation Express ambao hutoa...
USAJILI DIRISHA DOGO AZAM FC SHWAAA KENYA
Inaelezwa kuwa, Azam FC inaweza kufanya usajili wa Mlinda Lango kutoka nchini Kenya na klabu ya AFC Leopards Levis Opiyo ili kuimarisha eneo lao...
ROBERTINHO AIBUKIA YANGA AMPA GAMONDI MBINU ZA KUIUA AL AHLY
Kikosi cha Yanga kinaendelea na maandalizi ya mchezo wa pili wa makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri, huku...
BENCHIKHA ATIKISA KAMBINI
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
BENCHIKHA HATAKI MASIHARA AWAACHA MASTAA HAWA KUELEKEA BOTSWANA ISHU NZIMA IKO...
KOCHA mpya Mkuu wa Simba SC, Mualgeria Abdelhak Benchika amewaacha kipa Aishi Manula na washambuliaji, Nahodha John Bocco na Shaaban Iddi Chilunda katika safari...
BENCHIKHA AREJESHA MATUMAINI MAPYA SIMBA
KOCHA Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amerejesha matuamini kwa mashabiki wa timu hiyo na amekabidhiwa faili la Jwaneng Galaxy ya Botswana ambao watakutana nao...
BRUNO FERNANDEZ REKODI ZAKE NI BALAA, UTD KUFUZU 16 BORA. BASHIRI...
Nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, alikuwa na kiwango bora sana usiku wa mabingwa Ulaya kwenye mchezo uliomalizika kwa sare ya 3-3 dhidi ya...