Staff Desk
MOMO AWASHAURI VIONGOZI WA SIMBA, HERSI WA YANGA ATAJWA
Mchambuzi kutoka Wasafi Fm Ricardo Momo amewapa ushauri viongozi wa Simba wajifunze kwa Rais wa klabu ya Yanga SC Injinia Hersi Said namna ambavyo...
UBABE WA YANGA UPO KWENYE UTATU HUU WA MAP
Yanga pale wana utatu wao kwenye safu ya kiungo unaitwa MAP ukimaanisha majina ya wachezaji Maxi, Aziz na Pacome.
Ni Maxi Nzengeli, Aziz Ki Stephane...
TAIFA STARS KUKUTANA NA BALAA LA MASTAA A MOROCCO
Morocco imeita wachezaji 14 kati ya 26 walioshiriki fainali za Kombe la Dunia mwaka jana kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu fainali za...
HERSI ATUA KAIZER CHIEFS KWAAJILI YA MIAMB HII
Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said yupo nchini Afrika Kusini ametembelea klabu ya Kaizer Chiefs inayoshiriki Ligi Kuu nchini humo (PSL)
Katika ukurasa wake wa...
SIMBA WACHEZAJI NI WAWILI TU
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
GOLI TANO DHIDI YA SIMBA ZAMPONZA ALLY KAMWE
Afisa Habari wa Yanga SC Ally Kamwe amesema baba yake Mzee Shaban Ramadhani Kamwe bado 'amemblock' kufuatia matokea ya goli 5-1 ya watani wa...
HUU HAPA MCHEZO WA KASINO WENYE MZUKA ZAIDI
Moja kati ya vitu vyenye thamani kubwa duniani kwa rasilimali za asili ukiachana na mafuta kuna hii kitu inaitwa dhahabu, Tanzania imejaliwa utajiri huu...
MWENYEKITI SIMBA AMKINGIA KIFUA KENNEDY JUMA
Baada ya matokeo ya Simba kuwapa presha mashabiki, mwenyekiti wa zamani wa klabu hiyo, Ismail Aden Rage amewashauri viongozi wenzake kutulia na kutokufanya mambo...
MASHABIKI WA SIMBA KINDAKINDAKI WAKOMAA NA WACHEZAJI HAWA
Mashabiki kindaki ndaki wa Klabu ya Simba, Pasi Milioni na Kisugu wameutaka uongozi wa timu hiyo kufanya maamuzi magumu kwa kuwafukuza wachezaji wasiojituma ambao...
AVITOR BETI ZA BURE SIKU 30 MWEZI NOVEMBA
Hii ni kwa kila mtu anayejua kucheza kasino mtandaoni na kwa wasiojua lolote, mchongo mkubwa kabisa wa kufungia mwaka huku ukipata maokoto ni kuwa...