Staff Desk
USIKU WA ULAYA MKWANJA NJE NJE
Usiku wa ligi ya mabingwa ulaya umerejea na leo jumatano michezo mbalimbali itapigwa ambayo inaweza kukupa nafasi ya kupigwa mkwanja na Meridianbet kwani michezo...
AZIZ KI AFUNGUKA WALIPOWASHIKA SIMBA
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga ni wa moto kila idara lakini kwa mujibu wa takwimu mabomu ya timu hiyo kumaliza mechi yapo...
METACHA AREJEA KIKOSINI YANGA
Kipa namba mbili wa Yanga, Metacha Boniphace Mnata amerejea ndani ya kikosi hicho mara baada ya kukaa nje kwa takribani wiki tatu kufuatia tuhuma...
KUMBE ROBERTINHO ALIKUWA ANATAFUTIWA SABABU TU
Mchambuzi wa soka Yahya Njenge amesema aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliviera 'Robertinho' alikuwa anatafutiwa sababu ya kufukuzwa na ikapatikana baada ya...
WANASIMBA WANAMTAKA MWAMBA HUYU ARUDI MSIMBAZI
Aliyewahi kuwa kocha wa Simba SC Sven Van Dabroek ambaye alifundisha FAR Rabat naWydad Casablanca zote za nchini Morocco kisha akafundisha CR Belouzdad ya...
MAMBO HAYA NDIO CHANZO CHA KIPIGO CHA SIMBA KWA MKAPA
Simba SC, juzi Jumapili ilikubali kipigo cha mabao 5-1 dhidi ya Yanga, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar es...
HUYU HAPA NDIE ALIYESHIKA MIKOBA YA ROBERTINHO
Baada ya Simba kutoa Taarifa za kuachana na Kocha wake Mkuu Roberto Oliveira 'Robertinho, hatimaye Kocha Daniel Cadena ambaye amepewa majukumu ya muda kukinoa...
KWAPUA VIBUNDA NA MECHI ZA LIGI YA MABINGWA LEO
Ligi ya Mabingwa Ulaya imerudi ambapo itapigwa leo hii na kesho, hivyo nafasi ya wewe kukwapua vibunda ipo wazi sana ambapo kwa dau lako...
KAZI IMEANZA , ROBERTINHO AMWAGWA SITA OUT
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
CHAMA HALI SI HALI SIMBA MAMBO YAZIDI KUWA MAGUMU
Kiungo mshambuliaji wa Simba Clatous Chota Chama ameuanza msimu huu vibaya kwenye ligi kuu tofauti na misimu iliyopita akiwa ndani ya timu hiyo.
Takwimu zilizokusanywa...