MAYELE HALI IMEBADILIKA PYRAMIDS
Straika wa zamani wa Yanga Fiston Mayele ameendelea kuwa na mwanzo mbaya Pyramids baada ya kucheza mechi mbili za ligi bila kufunga wala kupiga shuti…
Straika wa zamani wa Yanga Fiston Mayele ameendelea kuwa na mwanzo mbaya Pyramids baada ya kucheza mechi mbili za ligi bila kufunga wala kupiga shuti…
TAARIFA njema kwa mashabiki wa Simba kuwa winga wao Muivory Coast, Aubin Kramo amepata nafuu ya majeraha yake na atarejea uwanjani baada ya wiki moja…
Leo Septemba 26 Timu ya Simba imecheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Pan African na kuibuka na ushindi wa magoli 4-0. Simba wako katika maandalizi…
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba Salim Abdallah “Try Again” amesema kwasasa wanachotaka ni kuona timu inapata ushindi na sio kucheza vizuri…
Nahodha wa timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Samatta ameendelea kuenziwa na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kwa jezi yake maalum kuuzwa katika…
Mara nyingi wakati wa mapumziko tumezoea kuona wachezaji wanao cheza soka la kulipwa ulaya wakati wa mapumziko wakioneka katika viwanja vikubwa kufatilia mchezo wa Basket…
Bodi ya Ligi ya Tanzania (TPLB), imesema kuwa sababu ya kusimama kwa Ligi Kuu ya Tanzania ni kutokana na kalenda ya Shirikisho la Soka Afrika…
Unaambiwa ndani ya kikosi cha Yanga, Kocha Mkuu wa Timu hiyo, Miguel Gamondi bado hajamwelewa straika wake mpya raia wa Congo DR, Hafiz Wontah Konkoni…
Yanga SC wamesema Mahlatse Makudubela Manoka ‘Skudu’ yupo na muda ukifika wa kucheza basi Wanayanga watamuona uwanjani akiitumikia klabu yake. Akizungumza na Wasafi FM, Afisa…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo