LEO VPL RAUNDI YA NANE INAENDELEA NAMNA HII
LEO Oktoba 30 safari ya mzunguko wa tisa wa Ligi Kuu Bara unaendelea ndani ya Bongo ambapo mechi mbili zitachezwa kwa timu nne kusaka pointi tatu ndani ya uwanja.Gwambina iliyo nafasi ya 12 na pointi 9 v KMC iliyo nafasi ya 8 na pointi 10, Uwanja wa Gwambina Complex, saa 10;00 jioni.Azam FC iliyo nafasi ya kwanza na pointi...
YANGA YAIFUATA BIASHARA UNITED
KIKOSI cha Yanga leo Oktoba 30 kimeondoka Mwanza kwenda Musoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa kesho, Oktoba 31.Mchezo huo utachezwa Uwanja wa Karume, Mara utakuwa ni wa nane kwa Yanga huku ukiwa ni wa tisa kwa Biashara United.Timu zote mbili zipo ndani ya tano bora jambo linalomaanisha kwamba zote kwa msimu wa 2020/21 zipo...
KUWAONA MASTAA WA SIMBA V MWADUI BUKU TANO TU
KESHO Oktoba 31, Simba itakuwa na kazi ya kumenyana na Klabu ya Mwadui FC kwenye mchezo wa Ligi huku viingilio ikiwa ni buku 5,(5,000). Mchezo huo utachezwa Uwanja wa Uhuru saa 10:00 jioni na unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili kutokana na matokeo ya timu hizo mbili.Mwadui FC imetoka kupoteza kwa kufungwa mabao 6-1 dhidi ya JKT...
KOCHA BIASHARA UNITED: WACHEZAJI NIMEWAPA KAZI YA KUPAMBANA NA JEZI YA NJANO
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Biashara United amesema kuwa amewaambia wachezaji wake wapambane na kila mchezaji atakayekuwa na jezi ya njano uwanjani bila kujali uwezo wake upoje ndani ya uwanja.Kesho, Oktoba 31 Biashara United iliyo nafasi ya tatu kwenye msimamo na pointi 16 itamenyana na Yanga iliyo nafasi ya pili ikiwa na pointi 19.Akizungumza na Saleh Jembe, Baraza amesema...
BAADA YA VICHAPO MFULULIZO SIMBA YAPANIA KUTOFUNGWA
BAADA ya kupokea vichapo kwenye mechi mbili mfululizo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wamesema kuwa kwa sasa watapambana kutopoteza kwenye mechi zao zijazo ndani ya ligi ili wasifungwe.Simba ilifungwa Oktoba 22 bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons, Uwanja wa Nelson Mandela na ilipoteza tena mbele ya Ruvu Shooting, Uwanja wa Uhuru kwa kufungwa bao 1-0.Ofisa Habari wa...
NIDHAMU YAIBEBA ARSENAL IKIICHAPA DUNDALK 3-0
MIKEL Arteta, Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa wachezaji wake wameweza kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Dundalk kwa sababu walicheza kwa nidhamu. Mchezo huo wa Europa League uliochezwa Uwanja wa Emirates umeifanya Arsenal kuwa nafasi ya kwanza kwenye msimamo baada ya kufikisha pointi 6 na imefunga jumla ya mabao 5 baada ya kucheza mechi 2 huku Dundalk ikiwa...
MTIBWA SUGAR HESABU ZAO KWA KAGERA SUGAR, YAANZA SAFARI LEO
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa utapambana kupata matokeo chanya kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Uwanja wa Kaitaba.Mtibwa inayonolewa na Vincent Barnaba ikiwa imetoka kushinda bao 1-0 dhidi ya Azam FC inakutana na Kagera Sugar iliyotoka kupoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City City.Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa...
KMC KAMILI GADO KUVAANA NA GWAMBINA FC
OFISA Habari wa Klabu ya KMC Christina Mwagala amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo Oktoba 30 dhidi ya Gwambina FC.KMC inashuka uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wao ulioppita uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba.Ikiwa ipo nafasi ya 8 na pointi 11 inakutana na Gwambina FC iliyo...
BIASHARA UNITED NA YANGA ZAPIGANA MIKWARA
KIKOSI cha Yanga kilicho nafasi ya pili kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 7 na kujikusanyia pointi 19 kitakutana na Biashara United iliyo nafasi ya tatu kwenye msimamo na 16 imecheza mechi 8.Oktoba 31 Yanga ya Cedric Kaze ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Biashara United ya Francis Baraza mchezo utakaochezwa Uwanja wa Karume.Msimu uliopita kwenye mchezo...
SVEN ATAJA SABABU YA KUMPA MAJUKU YA USHAMBULIAJI AJIBU
SVEN Vandenbroeck Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hakuwa na chaguo la kufanya ndani ya uwanja zaidi ya kumtumia Ibrahim Ajibu kuwa mshambuliaji kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting wakati wakipoteza kwa kufungwa bao 1-0.Oktoba 26, Simba ilipokea kichapo cha pili mfululizo ikiwa ni cha pili mfululizo kwa msimu wa 2020/21 baada ya kuanza kufungwa...