TRENT ALEXNDER WA LIVERPOOL NJE KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND

0

 MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu England Liverpool wanazidi kuingia kwenye majanga baada ya jana Novemba 8 beki wao Trent Alexander Arnold kupata majeraha ya misuli wakati timu hiyo ikilazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Manchester City Uwanja wa Etihad.Beki huyo alifanyiwa mabadiliko dakika ya 63 baada ya kushuhudia bao la kwanza kwa timu yake likifungwa na Mohamed Salah...

YANGA YAMTAJA ALIYEVURUGA MIPANGO YAO KWA MKAPA

0

 KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze amesema kuwa kuumia kwa beki wake kisiki Lamine Moro kulivuruga hesabu zake na kufanya umakini kwa safu ya ulinzi kupungua jambo ambalo liliruhusu bao la usawa kwa wapinzani wake Simba.Moro raia wa Ghana aliwahi kufanya majaribio ndani ya kikosi cha Simba zama za Kocha Mkuu, Patrick Aussems maarufu kama uchebe ila hakupewa nafasi...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0

 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu

TANZANIA YATAKATA COSAFA YAINYOOSHA AFRIKA KUSINI KWA MABAO 6-1

0

 TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 17 leo Novemba 8 imeibuka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya timu ya Taifa ya Wanawake ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa mashindano ya Cosafa.Huu ni mchezo wa tatu wa Tanzania ambapo mchezo wa kwanza ilishinda mabao 5-1  dhidi ya Comoro kisha ikachapwa mabao 2-1 dhidi ya Zimbabwe...

POCHETINO ATAJWA KURITHI MIKOBA UNITED

0

INAELEZWA kuwa kocha anayefuata ndani ya Klabu ya Manchester United ni Mauricio Pochentino ambaye kwa sasa hana timu baada ya kufutwa kazi ndani ya Klabu ya Spurs.Ole Gunnar Solkjaer ambaye ni Kocha Mkuu wa Manchester United kwa sasa yupo kwenye presha kubwa ya kufutwa kazi kutokana na mwendo wake wa kusuasua ndani ya timu hiyo ambayo inahitaji mafanikio makubwa.Ushindi...

RUVU SHOOTING: WANAOTUBEZA TUTAWAKUNG’UTA NA KUWAPAPASA

0

 MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa wale ambao wanawabeza kuhusu uwezo wao wakikutana ndani ya uwanja watawapapasa na kuwakung'uta.Ruvu Shooting imecheza jumla ya mechi 10 na kukusanya pointi 16 ikiwa nafasi ya tano huku kinara akiwa ni Azam FC mwenye pointi 25.Ikiwa imeshinda mechi nne kati ya hizo ilikuwa ni dhidi ya mabingwa watetezi wa Ligi...

YANGA YAITUMIA DONGO KIMTINDO SIMBA ISHU YA WACHEZAJI WAKE

0

 ANTONIO Nugaz, Ofisa Uhamasishaji wa Klabu ya Yanga amesema kuwa wachezaji wa Simba walicheza chini ya kiwango kwenye mchezo wa dabi jana Novemba 7 kwa kuwa walikutana na wachezaji wenye kiwango bora.Yanga walikamilisha raundi ya 10 bila kufungwa ndani ya Ligi Kuu Bara waliweza kusepa na pointi moja mbele ya Simba ambayo imepoteza mechi mbili.Ikiwa chini ya Kocha Mkuu,...

AZAM FC BADO INAFIKIRIA UBINGWA

0

 RICHARD Djod, kiungo wa Azam FC amesema kuwa kazi kubwa iliyobaki kwa wachezaji ni kutimiza majukumu ndani ya uwanja kwa kupata matokeo chanya.Azam FC ni vinara ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2020/21 baada ya raundi 10 kukamilika, wameshinda mechi 8, kupoteza mchezo mmoja ilikuwa kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar na kuambulia sare moja...

KISA SARE, SIMBA YATAJA WACHEZAJI WALIOCHEZA CHINI YA KIWANGO

0

 IMEELEZWA kuwa sare ya jana kwa Simba kuipata Uwanja wa Mkapa ya kufunagana bao 1-1 dhidi ya Yanga ilitokana na baadhi ya wachezaji wa kikosi hicho kucheza chini ya kiwango.Wachezaji wanaotajwa kucheza chini ya ni pamoja na kiungo namba moja wa kutengeneza mabao ndani ya Bongo kwa msimu wa 2020/21, Luis Miquissone akiwa nazo sita, Clatous Chama mwenye pasi...

SIMBA: TUNACHUKUA TENA UBINGWA WA LIGI KUU BARA

0

 SHOMARI Kapombe, beki wa kulia mzawa ndani ya Simba ambaye pia jina lake limetajwa kwenye majina ya wachezaji 27 kwa wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars chini ya Kocha Mkuu Etienne Ndayiragije amesema kuwa wanaamini watatwaa ubingwa wa ligi.Simba ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara ambao waliutwaa msimu wa 2019/20 baada ya kucheza mechi 38...