BAADA YA BIRIANI LA SIMBA KULIWA,NENO LAO HILI HAPA

0

 MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba baada ya kupotezwa na faslafa yao ya mpira biriani kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Nelson Mandela, nahodha msaidizi, Mohamed Hussein amesema kuwa ni sehemu ya matokeo.Mchezo huo ulikuwa ni wa sita kwa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck huku ukiwa ni wa kwanza kwake kupoteza...

ARSENAL YAPINDUA MEZA

0

 ARSENAL imeanza kwa ushindi wa mabao 2-1 ndani ya kundi B kwenye Kwenye mashindano ya Europa League baada ya kupindua meza kibabe wakitokea nyuma na kushinda mabao 2-1 dhidi ya Rapid Wien.Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Allianz Stadion Taxiarchis Fountas alianza kupachika bao la Kwanza kwa Rapid Wien lililopinduliwa na David Luis dakika ya 70.Bao la pili na la...

MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0

 MUONEKANO wa ukurasa wa nyuma Gazeti la Championi Ijumaa 

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0

 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa 

VIDEO: BAO LA TANZANIA PRISONS WAKIWATUNGUA SIMBA UWANJA WA NELSON MANDELA

0

 HILI ndilo bao pekee la Tanzania Prisons lililosepa na pointi tatu mazima mbele ya Simba Uwanja wa Nelson Mandela,  Oktoba 22

VPL: YANGA 0-0 POLISI TANZANIA

0

Uwanja wa Uhuru:- Yanga 0-0 Polisi TanzaniaKipindi cha kwanzaOktoba 22Ligi Kuu Bara Dakika ya 40 Uwanja wa Uhuru, Moro anachezewa faulo na mpira unapigwa kuelekea kwa Polisi TzDakika ya 36 Lamine Moro anaokoa hatari iliyopigwa na Marcel KahezaKipindi cha kwanza kinaendelea kwa sasa baada ya dakika moja ya kupoza koo kukamilika.Dakika moja kwa ajili ya kupoza koo na joto la...

VPL: TANZANIA PRISONS 0-0 SIMBA

0

 Tanzania Prisons 0-0 SimbaUwanja wa Nelson Mandela, MbeyaDakika ya 35 milango bado migumu kwa timu zote mbili.Dakika ya 31 Erasto Nyoni anaokoa hatariDakika ya 22 Tanzania Prisons wanafanya shambulio la hatari lango la Simba, mwamuzi anasema kuwa wameotea.Dakika ya 18: Simba wanapiga kona ya pili zote hazizai matunda ndani ya uwanja kupitia kwa Bernard MorrisonDakika 15 zinakamilika na hakuna...

KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA TANZANIA PRISONS, ILANFYA NDANI

0

 KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Nelson Mandela, Mbeya. Charlse Ilanfya kuanza kikosi cha kwanza kwa mara ya kwanza baada ya kujiunga na Simba akitokea Klabu ya KMC

KOCHA NAMUNGO AOMBA DAKIKA 270 KUIMARISHA KIKOSI

0

 HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa kwa sasa anahitaji mechi zaidi ya tatu ambazo ni dakika 270 ili kurejesha makali ya kikosi hicho ambacho kinakwenda mwendo wa kusuasua kwa msimu wa 2020/21.Namungo FC walianza kwa kasi msimu wa 2019/20 ikiwa ni msimu wao wa kwanza baada ya kupanda Ligi Kuu Bara na ilimaliza ligi ikiwa nafasi...

TANZANIA PRISONS V SIMBA MBABE KUJULIKANA LEO

0

 BAADA ya msimu uliopita ngoma kuwa ngumu ambapo kwa dakika zote 180 hakukuwa na bao lolote lililofungwa kati ya Simba na Prisons, leo Alhamisi miamba hiyo itakutana katika Uwanja wa Nelson Mandela, Sumbawanga mkoani Rukwa kumaliza ubishi. Mchezo wa kwanza msimu uliopita ulipigwa Novemba 7, 2019 jijini Dar na kumalizika kwa suluhu, huku ule wa pili uliopigwa Juni 28, mwaka...