DAKTARI KAFICHUA SIRI, KUMBE MAHADHI AMEPONA HALAFU ANAOGOPA MWENYEWE….

0

Daktari mkongwe wa michezo ambaye sasa ni daktari wa klabu ya Yanga, Shecky Mngazija amefichua kuwa winga wa kikosi hicho, Juma Mahadhi yupo fiti baada ya kupona majeraha yake lakini amekuwa muoga wa kucheza kutokana na kuhofia kuumia tena.Mngazija ameongeza kwamba kwa sasa hakuna tatizo lolote kwa Mahadhi kuanza kutumika katika kikosi cha kwanza kwa sababu amepona na yupo...

ALICHOKISEMA EYMAEL KUHUSIANA NA YANGA KUTOMTUMIA TIKETI

0

Kocha Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael ameweka wazi kuwa hadi kufikia jana mchana uongozi wa Yanga ulikuwa bado haujamtumia tiketi ya ndege kuweza kurejea nchini kitu ambacho kimemkera.Ligi inatarajia kuendelea Juni 13, mwaka huu huku Yanga ikicheza siku hiyo na Mwadui katika Uwanja wa Kambarage, Shinyanga bila kuwepo kwa kocha huyo ambaye bado amekwama nchini kwao.Mbelgiji huyo aliondoka...

GSM YAIPIGA MKWARA SIMBA, KISA ISHU YA MWAMNYETO

0

INJINIA, Hersi Said amesema kuwa GSM imejipanga kwa ajili ya kuboresha kikosi cha Yanga hivyo hawashindwi kumpata mchezaji yeyote ndani ya ardhi ya Tanzania.Miongoni mwa wachezaji ambao inaelezwa kuwa Yanga inapambana kupata saini yake ni pamoja na beki chipukizi wa Coastal Union, Bakari Mwamnyeto ambaye inaelezwa kuwa amemalizana na Simba baada ya Yanga kushindwa kumpa dau alikuwa analihitaji.Kauli hiyo...

MASHINE HIZI NNE ZA KAZI ZIMELETWA NA GSM NDANI YA YANGA

0

UONGOZI wa kampuni ya GSM umesema kuwa uliamua kusajili wachezaji ndani ya Klabu ya Yanga ili kuboresha kikosi na kuongeza ushindani.Injinia, Hersi Said amesema kuwa waliamua kutumia gharama zao wenyewe kusajili nyota wanne ambao wamekuwa na mchango mkubwa ndani ya kikoi cha Yanga."Tulifanya usajili wa wachezaji kwa gharama zetu GSM ambao ni Ditram Nchimbi, Haruna Niyonzima, Adeyum Saleh na...

KOCHA LIPULI: WACHEZAJI WALIKUWA HAWAFANYI MAZOEZI

0

NZEYIMANA Mailo, Kocha Mkuu wa Lipuli FC amesema kuwa wachezaji wake hawakuwa wakifanya mazoezi wakati wa mapumziko ya lazima yaliyosababishwa na janga la Virusi vya Corona.Mei 31, Lipuli iliwasili kambini na kuanza kufanya mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara zinazotarajiwa kuanza kutimua vumbi, Juni 13.Masuala ya michezo yalisimamishwa Machi 17 na Serikali baada ya...

VIGONGO VINNE VYA MOTO KWA YANGA HIVI HAPA

0

YANGA iliyo chini ya Kocha Mkuu, Luc Eymael ina kazi tatu za kufanya ndani ya Juni, kwenye mechi za Ligi Kuu Bara.Ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kucheza mechi 27, hizi hapa  ndani za Yanga:-Juni 13, Mwadui v Yanga, Kambarage.Juni 17, JKT Tanzania v Yanga, Jamhuri.Juni 21,Yanga v Azam FC,Taifa.Juni 24,Yanga v Namungo,...

HIVI HAPA VIGONGO VITATU VYA AZAM FC JUNI

0

MECHI za Ligi Kuu Tanzania Bara zinatarajiwa kuanza kutimua vumbi ifikapo Juni 13 baada ya Serikali kuruhusu masuala ya michezo kuendelea pale mambo yalipoishia.Hakukuwa na mechi ya ushindani tangu Machi 17 kutokana na janga la Virusi vya Corona kwa sasa Serikali imeruhusu masuala ya michezo kwa kueleza kuwa maambukizi yameanza kupungua.Azam FC iliyo chini ya Arstica Cioaba ipo nafasi...

ARSENAL YAFIKIRIA KUMSHAWISHI AUBAMEYANG ABAKI KIKOSINI

0

ARSENAL imeanza mchakato wa kufanya mazungumzo na mshambuliaji wao namba moja Pierre Emerick Aubameyang ili kumuongezea mkataba mpya ndani ya kikosi hicho.Mkataba wa Aubameyang unameguka mwishoni mwa msimu ujao na hakujawa na mazungumzo yoyote kuhusu yeye kubaki ama kuondoka ndani ya timu hiyo na Arsenal haitaki kumuuza kwa sasa licha ya kuwa iwapo hatasaini dili jipya anaweza kuondoka bure.Majukumu...

SIMBA YAIPIGA BAO YANGA KWA BEKI KISIKI, NDANI YA CHAMPIONI JUMATANO

0

MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano,  lipo mtaani jipatie nakala yako

HESABU ZA SIMBA KUSEPA NA UBINGWA ZIMEKAA NAMNA HII

0

SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hesabu kubwa ni kuona anaiongoza timu hiyo kusepa na taji la Ligi Kuu Bara kwa kushinda mechi zake tano za mwanzo.Ikiwa Simba itasepa na ushindi kwenye mechi tano itavuna pointi 15 na kufikisha pointi 86 ambazo haziwezi kufikia na timu yoyote ndani ya ligi kwa sasa ina pointi 71.Ligi Kuu Bara...