AZAM FC SIO WATU WAZURI, WAIPIGA MABAO 2-0 MBAO FC

0

AZAM FC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Mbao FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo Uwanja wa Azam Complex.Mabao ya Azam FC yalifungwa na Richard Djod dakika ya 49 kwa pasi ya Idd Naldo huku lile la pili likifungwa na Idd Chilunda dakika ya 90+3.Ushindi huo unaifanya Mbao FC isalie nafasi ya 19 ikiwa...

KISA KUGAWANA POINTI MOJA NA RUVU, SIMBA WATOA TAMKO HILI

0

UONGOZI wa Simba umesema kuwa sare ya kufungana bao 1-1 na Ruvu Shooting Uwanja wa Taifa leo sio aina ya matokeo mazuri ambayo waliyatarajia.Simba imekubali kusepa na pointi moja mbele ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliokuwa na ushindani mkubwa.Simba ilianza kupata bao kupitia kwa Shiza Kichuya dakika ya 11 ambalo lilisawazishwa na Fully Maganga dakika...

AZAM FC YAPIGA MTU 4G

0

TIMU ya wafanyakazi wa Azam FC imefanya kweli baada ya kuwafunza soka wafanyakazi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ikiwanyuka mabao 4-0.Mechi hiyo ya kirafiki ilikuwa ni maalumu kwa ajili ya ushirikiano baina ya pande hizo mbili.Wafanyakazi wa Azam FC walionyesha umwamba mkubwa wa kutandaza soka kwa dakika zote 90 za mchezo huo.Mabao yaliwekwa kimiani na John Matambara, aliyefunga...

SIMBA YAKIONA CHA MOTO LEO TAIFA, YAAMBULIA POINTI MOJA MBELE YA WAZEE WA KUPAPASA

0

LICHA ya Shiza Kichuya kuifungia Simba bao la kuongoza dakika ya 11 halikufua dafu mbele ya wazee wa kupapasa Ruvu Shooting ambao walilipinduapindua ndani ya kipindi cha kwanza.Fully Zully Maganga alimpa tabu leo Aishi Manula kwa kumtungua kichwa kilichojaa jumlajumla ndani ya wavu na kufanya ubao usome  1-1 ilikuwa ni dakika ya 36.Jitihada za Simba kusaka ushindi ziligonga mwamba...

AZAM FC WATEKELEZA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU KWA VITENDO

0

AZAM FC leo imetekeleza kwa vitendo siku ya wachangiaji damu duniani, kwa baadhi ya wafanyakazi kuchangia damu kwenye benki ya Taifa ya Damu Salama.Zoezi hilo limefanyika kwenye viunga vya Azam Conmplex, ambapo pia watu mbalimbali wakiwemo mashabiki wa soka, waliruhusiwa kuchangia damu.Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na kllabu hiyo kwa pamoja wamedhamini zoezi hilo, lengo ni kuokoa...

VPL: SIMBA 1-1RUVU SHOOTING

0

Zimeongezwa dakika 3Kipindi cha Kwanza Uwanja wa Taifa dakika 45 zimemegukaDakika ya 43 Ruvu wanalifuata lango la SimbaDakika ya 35 Goal MagangaDakika ya 35 Luis anajikunja mpira unakwenda njeDakika ya 34 Nyoni anapeleka mashambulizi kwa RuvuDakika ya 32 Wawa anaokoa hatariDakika  ya 31 Manula anaokoa hatari langoni mwakeDakika ya 30 Ruvu wanacheza fauloDakika ya 29 Gadiel anaanzisha mpira kwa...

HILI HAPA JESHI KAMILI LA WAZEE WA KUPAPASA RUVU SHOOTING DHIDI YA SIMBA

0

KIKOSI cha Ruvu Shooting dhidi ya Simba leo Juni 14 Taifa kitakuwa namna hii:-Mohamed MakakaOmary KindambaKassim Simbaulanga Rajab ZahirBaraka MtuwiZubeir Dabi Abdallahman MusaShaban MsalaGraham Naftal Fully Maganga William Patric

YANGA YAFICHUA KILICHO NYUMA YA USHINDI WAO NA MWADUI, ISHU YA MIGOGORO IPO HIVI

0

JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amesema kuwa tofauti zao waliziweka kando na kuingia uwanjani kupambana kwa kuwa ni timu moja.Jana, Juni 14 Yanga ilikuwa na kibarua mbele ya Mwadui FC ambapo ndani ya dakika 90 waliibuka na ushindi wa bao 1-0.Bao pekee la ushindi lilifungwa na Mapinduzi Balama dakika ya sita akimalizia pasi ya Deus Kaseke.Kabla ya mchezo...

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA DHIDI YA RUVU SHOOTING, TAIFA, MZAMIRU NDANI

0

HIKI hapa kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi ya Ruvu Shooting, Juni 14 Uwanja wa Taifa

BALAA TUPU LEO TAIFA, UTAPIGWA MPIRA WA BARCELONA

0

LEO Uwanja wa Taifa kutakuwa na kazi moja kubwa kwa Simba iliyo nafasi ya kwanza na pointi 71 kuzisaka pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting iliyo nafasi ya 11 ikiwa na pointi 39 baada ya kucheza mechi 28. Ruvu Shoting itaingia uwanjani kwa tahadhari kubwa ikiwa na kumbukukumbu ya kupoteza kwa kufungwa mabao 3-0 Novemba 23, Uwanja wa Uhuru. Sven Vandenbroeck,...