RONALDO WA JUVENTUS AKOSA PENALTI, TIMU YAKE YATINGA HATUA YA FAINALI

0

CRISTIANO Ronaldo wa Juventus, alikosa penalti kwenye mchezo wa marudiano Kombe la Italia jana mbele ya AC Milan hatua ya nusu fainali. Timu yake imefuzu hatua ya fainali kwa faida ya bao la ugenini.Kwenye mchezo wa kwanza timu hizo zilitoshana nguvu Uwanja wa San Siro kwa kufungana bao 1-1 Februari.Licha ya tofauti ya miezi minne kati ya michezo hiyo...

OKWI ANARUDI SIMBA,NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI

0

MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumamosi

SIMBA YAMALIZANA NA VIUNGO WIWILI WA KAZI FASTA, PESA YATEMBEA

0

IMEFAHAMIKA kuwa, Mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ ametumia Sh Mil 60 kusajili viungo wawili, Mzamiru Yassin na Said Ndemla kuendelea kusalia klabuni hapo.Viungo hao ni kati ya wachezaji ambao mikataba yao inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu ambao wote wamesaini miaka miwili.Taarifa zinaeleza kuwa viungo hao kila mmoja amesaini mkataba wa miaka miwili na kuchukua Sh Mil 30,...

KOCHA WA YANGA AMTAJA MSHAMBULIAJI ATAKAYESEPA BAADA YA MSIMU KUMEGUKA

0

KOCHA wa zamani wa Yanga, Mwinyi Zahera raia wa DR Congo, amefunguka kuwa mshambuliaji wa timu hiyo, David Molinga ataondoka mwishoni mwa msimu huu.Zahera ambaye kwa sasa yupo nchini Ufaransa ametoa kauli hiyo baada ya kusikia tetesi za mshambuliaji huyo mwenye mabao nane ni miongoni mwa wachezaji wa kimataifa watakaotemwa na timu hiyo katika usajili ujao.Zahera amesema kuwa kwa...

COASTAL UNION YAZITAKA POINTI TATU ZA NAMUNGO

0

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda amesema kuwa kesho, Juni 13 itakuwa ni kazi moja tu kuendelea pale walipoishia kwenye mechi za ligi kwa kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC.Coastal Union itamenyana na Namungo Uwanja wa Mkwakwani Tanga mchezo wa ligi utakaochezwa majira ya saa 10:00 jioni.Mgunda amesema:"Hatukuwa kwenye ushindani kwa muda mrefu ila ni muhimu kuendelea...

SHINDA GARI SASA YAFIKA PATAMU, MSHINDI NJIANI KUPATIKANA

0

LILE shindano la wasomaji wa magazeti bora ya michezo zilizofanyiwa uchunguzi wa kina, Championi na Spoti Xtra, ambapo mshindi anatarajiwa kukabidhiwa gari jipya aina ya Toyota FunCargo sasa linaelekea ukingoni kwa ajili ya mshindi kukabidhiwa ndinga hiyo.Jana Alhamisi, Kitengo cha Masoko na Usambazaji cha magazeti hayo, kilitua mitaani maeneo mbalimbali ya Tegeta jijini Dar kwa ajili ya kuendelea kuwahamasisha...

MWADUI FC YAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA

0

UONGOZI wa Mwadui FC umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Yanga.Mwadui FC itawakaribisha Yanga Uwanja wa Kambarage majira ya saa 10:00 jioni.Akizungumza na Saleh Jembe, meneja wa timu, David Chakala amesema kuwa maandalizi yapo sawa na wana imani ya kupata ushindi mbele ya wapinzani wao."Tupo sawa na kila mchezaji yupo vizuri kuona kwamba...

EYMAEL AUNGANA NA YANGA KAMBINI, KESHO KAZI KUANZA MBELE YA MWADUI FC

0

KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael leo amewasili kambini Shinyanga na kupokelewa na viongozi wa timu hiyo ambao walitangulia Juni 10.Eymael alichelewa kujiunga na timu ambayo ilianza mazoezi tangu Mei 27 kwa kuwa alikuwa nchini Ubelgiji ambapo anga la ndege lilifungwa kutokana na kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona.Yanga kesho itashuka uwanja wa Kambarage kumenyana na Klabu ya...

MOLINGA AIBUA MAPYA NDANI YA YANGA,HUKO MSIMBAZI KUMEKUCHA, KESHO NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI

0

DAVID Molinga aibua mapya ni kesho ndani ya Championi Jumamosi 

UJUMBE WA RUVU SHOOTING HUU HAPA

0

UONGOZI wa Ruvu Shooting, umesema kuwa upo tayari kwa michezo yote iliyobaki kusepa na pointi tatu muhimu.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa morali ya wachezaji ni kubwa na kila mmoja yupo tayari kuona timu inapata ushindi."Wachezaji wapo tayari, kila mmoja anatambua jukumu lake hivyo nina amini mwendelezo wa kupapasa utakuwa kama ilivyokuwa...