HAYA NDIYO MAMILIONI YALIYOGHARIMU USAJILI WA NYONI, BOCCO NA MANULA SIMBA

0

Mambo ni moto! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya uongozi wa Klabu ya Simba hivi karibuni kuwaongezea mikataba baadhi ya nyota wake kwa ajili ya msimu ujao.Hata hivyo, wachezaji John Bocco, Erasto Nyoni na Aishi Manula ambao tayari wameongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo kwa pamoja usajili wao umeigharimu Simba jumla ya Sh milioni 972.Habari za kuaminika kutoka...

WAKATI IKIELEZWA ANATANGAZWA SIMBA LEO, YANGA WAJA NA MPYA JUU YA AJIBU

0

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umethibitisha kuwa bado unamuhitaji kiungo wao mshambuliaji, Ibrahim Ajibu na kilichobakia ni yeye kuamua lini asaini mkataba wa kuendelea kukipiga Jangwani.Kauli hiyo imekuja ni baada ya tetesi kuzagaa kuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amekataa usajili wa Ajibu na kudai hayupo kwenye mipango yake.Baada ya tetesi hizo, zikazuka nyingine kuwa tayari amemalizana na...

NAMUNGO KUSAJILI WACHEZAJI 20

0

KOCHA wa Namugo FC, Hitimana Thiery amesema kuwa watabaki na wachezaji 20 wa kikosi cha kwanza kwa kuheshimu mchango wao wa kuipambania timu.Akizungumza na Salehe  Jembe, Thiery amesema kuwa kwa sasa wameanza kufanya mazungumzo na wachezaji wao waliopandisha kikosi."Kwa sasa tumeanza mazungumzo na wachezaji walioipandisha timu kwanza kabla ya kufanya maamuzi mengine, lengo ni kusuka kikosi chenye nguvu na...

RIPOTI YA KOCHA RUVU SHOOTING YATUA MEZANI

0

UONGOZI wa Ruvu Shooting umesema kuwa umepokea ripoti ya kocha wa Ruvu Shooting, Ablumutik Haji hivyo kwa sasa wanaifanyia kazi taratibu. Ofisa Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa makosa waliyofanya msimu uliopita hayatajirudia tena hivyo lazima wakaze msimu wa mwaka 2019/2020."Tulifanya makosa kidogo msimu uliopita hayo yamepita na sasa tumegundua pale tulipokwama msimu ujao hatutakwama na ripoti...

AMUNIKE: TUTAFANYA MAAJABU MISRI

0

KOCHA wa timu ya Taifa ya Tanzania, Emmanuel Ammunike amesema kuwa kwa sasa kikosi kipo sawa kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Zimbabwe utakaopingwa nchini Misri.Kwa sasa kikosi cha Stars kipo nchini Misri ambapo kimeweka kambi maalumu ikiwa ni maandalizi kuelekea michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza Juni 21 na wameanza kwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya...

LEO NDIO LEO, KUBWA KULIKO KUFANA, MOJA KWA MOJA AZAM TV

0

LEO Jumamosi, Juni 15, Kubwa Kuliko itazinduliwa rasmi ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga jijini Dar es Salaam na wanachama pamoja na viongozi wa Yanga lengo likiwa moja kuichangia timu.Ikumbwe kwamba mchakato huu kwa mara ya kwanza ulizinduliwa na Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera makao makuu ya nchi, Dodoma.Katibu wa Kamati ya Hamasa ya Yanga, Deo Muta amesema kuwa maandalizi ya...

POLOKWANE FC WAIKOMALIA SIMBA ISHU YA BOCCO

0

KAMA mipango ikienda sawa huenda nyota wa Simba, Adam Salamba akatua Afrika Kusini kukipiga klabu ya Polokwane FC.Dili hilo limekuja baada ya dili la mshambuliaji John Bocco kuingia doa kwa kile kilichoelezwa kwamba Polokwane FC walimsainisha mchezaji kimakosa hivyo wameamua waikomalie Simba iwape mchezaji mmoja kwa mkopo.Uongozi wa Simba kupitia Mtendaji Mkuu, Cresesteus  Magori umesema kuwa kumtoa Bocco ni...

AJIBU KUTANGAZWA SIMBA LEO

0

Kuna uwezekano mkubwa aliyekuwa mchezaji wa Yanga kwa msimu uliomalizika hivi karibuni, Ibrahim Ajibu akatangazwa kusajiliwa na Simba.Taarifa zinasema kuwa Ajibu tayari ameshamalizana na Simba kwa kusaini mkataba wa miaka miwili na atakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo msimu ujao.Jana Simba walimtangaza Beno Kakolanya ambaye aliachwa na Yanga kufuatia amdai ya fedha zake za mishahara na zile za...

WATANO AMBAO TAYARI WAMESHAMWAGA WINO SIMBA KILICHOBAKI NI PICHA ZAO KUACHIWA

0

Baada ya aliyekuwa kipa wa Yanga, Beno Kakolanya kumwaga wino wa miaka miwili jana na wekundu wa Msimbazi, Simba SC, imeelezwa kuna wengine tayari wameshamalizana na miamaba hao wa Ligi Kuu Bara.Taarifa zinasema tayari kuna wachezaji watano ambao tayari wameshamwaga wino lakini picha zao hazijaachiwa mitandaoni.Kwa mujibu wa taarifa za ndani kutoka Simba zinasema kuwa wachezaji hao ni Ibrahim...