SINGIDA UNITED WAJA NA MTINDO MPYA WA USAJILI, WATANGAZA FURSA

0

UONGOZI wa Singida United umetangaza fursa kwa wachezaji wote ambao wanahitaji kujiunga na kikosi hicho kwa ajili ya msimu mpya wa mwaka 2019/20.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Singida United, Cales Catemana amesema kuwa lengo la mradi huo ni kutoa fursa kwa wachezaji wote wenye uwezo kuonesha ujuzi wao mbele ya benchi la ufundi."Hii ni fursa maalumu kwa...

KOCHA YANGA AFICHUA SIRI YA MABAO YA KINDOKI

0

KOCHA wa magolikipa wa kikosi cha Yanga, Juma Pondamali amesema kuwa kikubwa kilichokuwa kinamponza mlinda mlango Klaus Kindoki kushindwa kufanya vizuri ni hofu akiwa langoni.Kindoki ambaye ni chaguo namba moja mbele ya Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera msimu wa 2018/19 alikuwa akifanya makosa mengi ya kiufundi hali iliyofanya afungwe mabao kwenye baadhi ya michezo aliyokuwa langoni.Mfano katika michezo ambayo alifungwa...

TAIFA STARS: HAKUNA CHA KUHOFIA TUNAKWENDA KUFANYA MAAJABU

0

NAHODHA wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta amesema kuwa wanakwenda kufanya maajabu nchini Misri kwa kuwa wanajua wanapeperusha Bendera ya Taifa kwenye michuano ya Afcon nchini Misri.Stars wamekwea pipa leo kuelekea nchini Misri ambapo wanakwenda kuweka kambi kwa ajili ya maandalizi ya michuano hiyo inayotarajiwa kuanza Juni 21.Akizungumza na Saleh Jembe, Samatta amesema kuwa kibarua chao kikubwa...

AZAM FC YAMPIGA PIN NYOTA WAO MWINGINE LEO

0

Kipa wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Mwadini Ally, ameongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia timu hiyo.  Mwadini aliyeanza kuitumikia Azam FC tokea mwaka 2011 akitokea Mafunzo ya Zanzibar, amesaini mkataba huo rasmi leo mchana,mbele ya Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin 'Popat' na Mratibu wa timu, Phillip Alando.Habari ambayo imetumwa kwenye akaunti rasmi ya...

MEDDIE KAGERE ABEBA TUZO YA MCHEZAJI BORA

0

Meddie Kagere amechaguliwa na kamati ya Tuzo iliyo chini ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutwaa tuzo ya mchezaji bora kwa mwezi Mei.Kagere ametwaa tuzo hiyo akiwashinda wachezaji wenzake wawili aliofika nao fainali ambao ni Bigirimana Blaise mshambuliaji anayekipiga Alliance FC na Tariq Kiakala wa Biashara United.

NDAYIRAGIJE WA KMC AMPOTEZA MBELGIJI WA SIMBA

0

KOCHA Mkuu wa KMC, Ettiene Ndayiragije amebeba tuzo ya kocha bora wa Ligi Kuu Bara  kwa mwezi Mei.Ndayiragije ameongoza kikosi chake cha KMC kumaliza ligi kikiwa ndani ya nne bora baada ya kucheza michezo 38 licha ya kupanda ligi msimu wa mwaka 2018/19.Kocha huyo amewashinda makocha wawili ambao ni Patrick Aussems wa Simba na Malale Hamsini kocha wa Alliance...

HAWA HAPA 11 WANATAJWA KUVAA JEZI YA SIMBA MSIMU UJAO

0

IMEELEZWA kuwa kikosi cha Simba kinafanya kazi ya usajili kimyakimya ambapo mpaka sasa hakijatangaza mchezaji hata mmoja ambaye amesajiliwa hata kwa mkataba wa awali.Habari zimeeleza kuwa mpaka sasa Simba wanapitia ripoti iliyoachwa mezani na kocha mkuu, Patrick Aussems ambaye yupo likizo nchini Ubelgiji kwa sasa.Hii hapa ni orodha ya baadhi ya wachezaji ambao inasemekana wanahitajika ndani ya kikosi hicho...

BARCELONA KUIPASUA MANCHESTER UNITED WAKIIKOSA SAINI YA GRIEZMANN

0

IMEELEZWA kuwa, Marcus Rashford atakuwa mbadala ndani ya kikosi cha Barcelona iwapo watafeli kuipata saini ya Antoine Griezmann ama Neymar Jr.Barcelona kwa sasa wanaangalia namna ya kumpata mchezaji atakayekuwa mbadala wa mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya Taifa ya Uruguay, Luis Suarez msimu huu.Rashford kwa sasa imeelezwa kuwa hana furaha ndani ya kikosi cha Manchester United hivyo Barcelona watatumia njia hiyo...

WACCHEZAJI WA TAIFA STARS WATAOKWEA PIPA KUELEKEA MISRI HAWA HAPA

0

Kikosi cha Taida Stars kinachoondoka leo kuelekea Misri kwa ajili ya michuano ya AFCON 2019Kikosi cha Taifa Stars kinachoondoka kinaundwa na makipa; Aishi Manula (Simba SC), Metacha Mnata (Mbao FC), Suleiman Salula (Malindi SC) na Aaron Lulambo (Tanzania Prisons).Mabeki; Claryo Boniface (U20), Hassan Kessy (Nkana FC, Zambia), Vincent Philipo (Mbao FC), Shomari Kapombe, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Erasto Nyoni (Simba...