WAGENI 100 WAIGOMBANIA NAFASI YA AMMUNIKE, WAZAWA WAICHUNIA
WILFRED Kidao, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kuwa mpaka sasa tayari wamepokea maombi ya makocha 100 wanaotaka nafasi ya kuinoa timu ya Taifa.Katika orodha hiyo hakuna hata jina moja la mzawa ambaye ameomba kuinoa timu ya Taifa ya Tanzania baada ya Kocha Mkuu Emmanuel Ammunike kusitishiwa mkataba wake baada ya kuboronga kwenye michuano ya Afcon 2019...
CEBALLOS ACHEKELEA KUIUNGA NA ARSENAL
DANI Ceballos mchezaji mpya wa kikosi cha Arsenal ambaye amejiunga kwa mkopo akitokea Real Madrd amesema kuwa ni wakati wake kuonyesha uwezo wake alionao.Ceballos amesema kuwa ana imani mashabiki watapenda wenyewe namna atakavyofanya ndani ya kikosi hicho."Ni furaha kuwa ndani ya kikosi cha Arsenal na nina amini kwamba thamani ya jezi niliyopewa lazima niifanyie kazi kwa kuwa nakutana na kocha...
NYOTA SIMBA KUIBUKIA POLISI TANZANIA, ATOA MASHARTI MAGUMU
MARCEL Kaheza mshambuliaji wa kikosi cha Smba huenda msimu ujao akaibukia kikosi cha Polisi Tanzania.Kaheza amerejea kutoka Kenya baada ya kumaliza mkataba wake wa mkopo kuitumikia timu ya AFC Leopards, uongozi wa Simba umemuweka kwenye hesabu za kumtoa kwa mkopo.Kaheza amesema: "Mimi ni mchezaji na uwezo wangu unajulikana hivyo kikosi ambacho nitakwenda ninahitaji kupata namba kikosi cha kwanza," amesema.
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa
YANGA: TUNASHUSHA MUZIKI MNENE KUWAMALIZA WAKALI WA EVERTON
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa klabu ya Kariobangi Sharks sio nyepesi kwani iliwanyoosha Eveton kutoka England.Deo Muta, Katibu wa Kamati ya Hamasa amesema kuwa utakuwa ni mchezo wenye ushindani Agosti 4 uwanja wa Taifa siku ya Mwananchi uwanja wa Taifa."Everton moja ya klabu bora England wanajua ubora wa Kariobang Shark hivyo nasi tunajua tunakutana na timu ya aina gani...
LEWANDOWSKI ANAKIMBIZIA REKODI TU
ROBERT Lewandowski nyota wa timu ya Bayern Munich ni miongoni mwa washambuiaji bora kutokea kwenye Ligi Kuu ya Ujerumani 'Bundesliga'. Ameshinda kiatu cha ufungaji bora mara nne, hajaifikia rekodi ya staa wa zamani wa kikosi hicho,Gerd Muller ambaye ametwaa kiatu hicho mara saba.Staa huyo wa Poland aliyehamia Bayern mwaka 2014 akitokea Dortumund ameongeza ubora na thamani ndani ya kikosi...
DUH MESSI CHAPA NYINGINE AMFUNIKA CR 7, NEYMAR KWA MKWANJA
LIONEL Messi mshambuliaji wa Barcelona inayoshiriki La Liga yeye anaongoza kwa kukunja mkwanja mrefu kuliko wengine wanaopiga soka kwa sasa.Kwa mwezi anakunja euro milioni 8.3 sawa na shilingi bilioni 21.3 kwa mwezi, hapo ni kabla ya kodi.Cristiano Ronaldo kwenye Ligi ya Serie A yeye ni namba moja anakipiga Juventus, kwa mwezi anakunja euro 4,7 shilingi bilioni 12.1 kwa mwezi ni...
WAFANYAKAZI WAPUNGUZIWA MSHAHARA KUMJAZIA CR 7
CRISTIANO Ronaldo nyota anayekipiga Juventus ambao ni mabingwa wa Serie A ni mmoja wa wachezaji wenye uwezo mkubwa kuwahi kutokea.Alikuwa ni mwanamichezo aliyekunja mkwanja mrefu mwaka 2016/2017 kabla ya kutimkia Juventus alipokuwa ndani ya Real Madrid.Kwa sasa anakunja kiasi cha euro milioni 4.7 kwa mwezi sawa na bilioni 12.1 na walichokifanya Juventus ni kupitisha panga Kwa wafanyakazi wengine ili...
LAURENT APANGA KUISHTAKI ARSENAL
LAURENT Koscienly anapanga kuuchukulia hatua za kisheria uongozi wa Arsenal kutokana na kupewa ofa ndogo ya mshahara.Koscienly aligoma kwenda kwenye kambi ya Arsenal nchini Marekani akaitaka kulazimisha kuondoka klabuni hapo.Beki huyo raia wa Ufaransa anataka kusepa baada ya klabu yake kumueleza kuwa itamuongezea mkataba ila inabidi akubali kulipwa nusu ya kile alichokuwa anapata awali.Kwa sasa anapokea mshahara wa pauni...