MKENYA ATANGAZA KUTUA YANGA

0

Kutokana na usajili wa kutisha ambao unafanywa na Yanga hadi sasa kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao, mshambuliaji Mkenya Duke Abuya ameweka wazi kwamba naye karibuni anaweza kuwa miongoni mwao.Mkenya huyo amekoshwa na aina ya usajili ambao unafanywa na viongozi wa Yanga ambapo hadi sasa wameshawapa mikataba wachezaji sita.Wachezaji hao ambao wamesajiliwa ni Lamine Moro, Patrick Sibomana, Issa...

MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO ALHAMIS

0

MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO ALHAMIS

VIDEO: STRAIKA MPYA ATUA USIKU YANGA, ASAINI NA KUSEPA

0

Yanga imeshusha rasmi straika Mnamibia Sadney Urikhob anayekipiga klabu ya Tura Magic na timu ya Taifa ya Benin.Huyo anakuwa mchezaji wa saba kusaini Yanga kama mazungumzo yatakwenda vizuri wengine ni Patrick Sibomana, Lamine Moro, Issa Bigirimana, Maybin Kalengo, Farouk Shikalo, Erick Rutanga na Urikhob mwenyewe.

BOSS SIMBA AZIDI KUKIMBIZA KATIKA ORODHA YA WATU TAJIRI AFRIKA, APANDA JUU

0

Jarida linalotoa orodha ya watu ambao wanakusanya kiasi kikubwa cha pesa Afrika na duniani kwa ujumla 'FORBES' limekuja tena na orodha ya matajiri.Katika orodha ya watu tajiri Afrika, Mtanzania ambaye amewekeza hisa zake katika klabu ya Simba na Mfanyabiashara Mohammed Dewji 'Mo' amezidi kupanda juu kutoka namba 16 mpaka 14.Unaweza kuitazama listi kamili kwa kubofya hapa chiniORODHA YA WATU...

SIMBA IJAYO NI BAB-KUBWA ZAIDI, MBADALA WA OKWI AFUATWA NA WAKALA WA KAGERE

0

Klabu ya Simba iko hatua za mwisho za kumsainisha mkataba mshambuliaji wa klabu ya Police FC ya Uganda, Juma Balinya mwenye umri wa miaka 27.Balinya alikuwa mfungaji bora wa ligi ya Uganda kwa sasa yupo kwenye kambi ya timu ya Taifa ya Uganda.Taarifa zinasema kuwa tayari Simba wametuma mtu wao ambaye ameambatana na wakala wake Patrick Gakumba kwenda Abu...

TIBOROHA ATANGAZA WASIWASI YANGA

0

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tiboroha, amesema ana wasiwasi na klabu hiyo kama itafabya vizuri katika Ligi ya Mabingwa Afrika.Tiboroha ametoa kauli hiyo baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuongeza idadi ya timu shiriki katika michuano hiyo kutoka mbili mpaka nne.Kutokana na ongezeko hilo, Tiboroha anaamini Yanga haiwezi kupata nafasi hiyo kwani ndiyo kwanza inajipanga kwa...

MKWASA ATOA ONYO YANGA JUU YA USAJILI WA WACHEZAJI KUPITIA YOUTUBE

0

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa, amefunguka kwa kutoa rai kwa viongozi wa klabu hiyo juu ya usajili wanaoufanya hivi sasa.Mkwasa ambaye hivi sasa bado anaugulia kutokana na tatizo la moyo lililomfanya aachie ngazi Yanga, ameamua kuweka wazi suala la usajili unaondelea klabuni hapo ambao unaenda kwa kasi.Mkwasa amesema ni vizuri zaidi Yanga wakaangalia wachezaji ambao...

WAKILI WA WAMBURA ACHACHAMAA BALAA

0

WAKILI wa Michael Wambura, Fatius Kamugisha ameiomba mahakama kuharakisha uchunguzi wa kesi ya mteja kwa kuwa amekuwa ndani kwa muda na kukosa haki zake za msingi.Katika kesi ya msingi, kigogo huyo anakabiliwa na mashtaka 17, likiwamo la kughushi, shtaka moja la kutoa na kuwasilisha nyaraka za uongo, mashtaka 13 ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na mawili ya...

YANGA YAMFICHA HOTELINI STRAIKA SIMBA

0

UNAMKUMBUKa yule straika ambaye Simba ilitangaza kumsajili kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2018/19?Straika huyo si mwingine bali ni Vitalis Mayanga aliyekuwa Ndanda FC ambaye katika msimu wa 2018/19, aliwafanya vibaya Yanga katika mechi zote mbili walizokutana zilizomalizika kwa sare ya 1-1.Mayanga katika mchezo wa kwanza dhidi ya Yanga...

MBADALA WA ROMELU LUKAKU UNITED NI HUYU HAPA

0

MANCHESTER United wanampigia hesabu za kumsajili mshambuliaji wa kikosi cha Frankfurt, Sebastien Haller kwa ajili ya msimu ujao.United wanaitaka saini ya mchezaji huyo ili awe mbadala wa nyota wao Romelu Lukaku ambaye anahitaji kusepa ndani ya kikosi hicho.Kikosi cha Inter Milan kimeonyesha nia ya kupata saini ya mchezaji huyo ambaye ni mshambuliaji anayekipiga timu ya Taifa pia ya Ubelgiji.Mabosi...