SASA WAKATI WA KUONA TOFAUTI YA AJIBU GIRLFRIEND NA AJIBU HUSBAND

0

NA SALEH ALLYBAADA ya picha za video kusambaa mtandaoni zikimuonyesha Ibrahim Ajibu Migomba akiwa katika mazoezi ya gym, mjadala ukazuka kama ataweza kuvumilia kutokana na kuwa na sifa ya uvivu.Ajibu yuko Afrika Kusini ambako timu yake ya zamani na sasa mpya ya Simba, imeweka kambi Simba kujiandaa na msimu mpya wa 2019/20.Kiungo huyo mshambuliaji, ni kati ya wachezaji walio...

LIVERPOOL YATHIBIITISHA SADIO MANE KUIKOSA MANCHESTER CITY

0

 JURGEN Kloop, Meneja wa Liverpool amesema Sadio Mane ataukosa mchezo wa Ngao Jamii (Community Shield) dhidi ya Manchester City uwanja wa Wembley Agosti 4.Mane ataukosa mchezo huo baada ya kupewa likizo ya wiki mbili kutokana na kushiriki michuano AFCON nchini Misri, timu yake ya Senegal ilifika fainali na kufungwa bao 1-0 na Algeria.Mane ataiunga na klabu hiyo Agosti 5...

USAJILI WA WACHEZAJI WA NJE NI LAZIMA, LAKINI LAZIMA MUWE NA MIPANGO BORA KWA TIMU ZA VIJANA

1

NA SALEH ALLYWAKATI huu ndio ule ambao gumzo zaidi ni kuhusiana na usajili wa wachezaji wapya ambao msimu ujao watakuwa na klabu zao kwa ajili ya mismo mpya.Wako watakuwa ni wageni kabisa wa Ligi Kuu Bara lakini wako ambao watakuwa wenyeji wa ligi hiyo lakini wako katika timu nyingine mfano wa Salim Aiyee ambaye amekwenda kujiunga na KMC akitokea...

UNITED WAWEKEWA UGUMU KUMPATA NYOTA WA NEWCASTTLE UNITED

0

SEAN Longstaff nyota wa Newcasttle United ameingizwa kwenye rada za Manchester United kwa ajili ya msimu ujao huku ikielezwa kuwa kuna ugumu wa kumpata.Meneja mpya wa Kocha huyo, Steve Bruce amesema kuwa hana mpango wa kumuuza msimu ujao.Bei ya kumpata nyota huyo ilikuwa ni pauni milioni 50 na kiungo huyo amecheza jumla ya mechi 13 mpaka sasa.

GARETH BALE MBISHI KINOMA AIKOMALIA MADRID

0

GARETH Bale amemwambia Meneja wa Real Madrid, Zinedine Zidane kuwa hana mpango wa kusepa ndani ya kikoisi hicho msimu ujao kuelekea China.Zidane amemwambia Bale kuwa hana mpango wa kumtumia msimu ujao kwenye kikosi chake hivyo ni lazima aondoke kutafuta maisha sehemu nyingine."Sitaweza kufanya kazi na Bale msimu ujao, ni fursa kwake kuondoka na tunamfanyia mpango wa kujiunga na timu...

CAF WASITISHA ISHU YA AS VITA KUTIA TIMU BONGO

0

IMEELEZWA kuwa Uongozi wa As Vita umesitisha mpango wa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Yanga.Yanga ilipanga kucheza mchezo wa kirafiki siku ya kilele cha wananchi Agosti 4 uwanja wa Taifa.Taarifa zinaeleza kuwa kutokana na kutoka kwa ratiba ya michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Caf huku ikionyesha kuwa kati ya Agosti 9,10,11 AS Vita wakwenda Cameroon kucheza na...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0

MUONEKANO wa Ukurasa wa Mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatatu

NYOTA SABA MATATA WAMPASUA KICHWA MBELGIJI WA SIMBA

0

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems amesema kuwa mchezaji atakayeonyesha juhudi mazoezini ndiye atakayepewa kipaumbee kwenye kikosi cha kwanza.Simba imeweka kambi nchini Afrika Kusini ambapo inaendelea na mazoezi kwa ajili ya msimu ujao huku vipaumbele vikubwa vikiwa ni kufanya vema michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kutetea taji la Ligi Kuu Bara.Aussems ambaye anaaminika kutumia sana viungo kutafuta...

MLINDA MLANGO MPYA WA YANGA KUTOKA KENYA ATIA TIMU BONGO

0

HATIMAYE, Farouk Shikalo mlinda mlango mpya wa kikosi cha mabingwa wa kihstoria, Yanga amewasili nchini Tanzania.Shikalo amewasili Dar akitokea nchini Kenya ambapo alikuwa kwa mapumziko ya muda baada ya kukamilisha majukumu ya timu ya Taifa ya Kenya pamoja na klabu yake ya Bandari iliyokuwa inashiriki michuano ya Kagame. Amepokelewa na Kaimu Katibu wa Yanga, Dismas Ten, atajiunga na timu kambini...

SIMBA: LAZIMA TUTUSUE KIMATAIFA

0

 GADIEL Michael, beki wa kushoto wa Simba  amesema hesabu zake ni kutamba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na kufika mbali zaidi ya robo fainali ambayo walifika msimu uliopita.Gadiel amesaini kandarasi ya miaka miwili akitokea Yanga na atakuwa na kazi ya kupambana na Mohamed Hussein 'Tshabalala' ambaye naye ni beki wa kushoto. â€śNina mambo makubwa nimejiandaa kuyafanya hapa katika timu yangu,...