DAH! MWANA TAMBWE KUMBE AMEWEKWA KIPORO….

0

Huku Yanga ikimuweka kiporo mshambuliaji wake, Amissi Tambwe, nyota huyo amepata ofa moja kutoka nje ambayo hajaiweka wazi.Tambwe ni mmoja kati ya wachezaji wa Yanga ambao wamemaliza mikataba yao ndani ya klabu hiyo na mpaka sasa haijafahamika kama ataendelea kuwa hapo au la.Straika huyo amekuwa na Yanga kwa msimu zaidi ya mitatu na amefanikiwa kutwaa mataji matatu kikosini hapo...

BODI YA LIGI LAZIMA ITANGAZE ADHABU YA WALIOISHUSHA KAGERA SUGAR, LA SIVYO VIONGOZI WA JUU WAWAJIBIKE

0

OFISA MTENDAJI MKUU WA BODI YA LIGI, BONIFACE WAMBURANA SALEH ALLYWIKI hii imeisha, gumzo badala ya kuwa ubingwa wa Simba, mambo yaligeuka na kuwa nani aliyeteremka.Suala la timu iliyoteremka daraja kutoka Ligi Kuu Bara hadi Ligi Daraja la Kwanza, limekuwa juu zaidi ya chochote.Si kwamba aliyekuwa akiteremka ilikuwa kazi kubwa kumjua badala yake kutokuwa makini kwa wataalamu wa takwimu...

MASHUJAA WA USWAHILINI; SAMATTA, KIBA, TUWAUNGE MKONO NIA YAO NJEMA YA KUIRUDISHIA JAMII

0

*Twendeni Taifa Juni 2 tukawaunge mkonoNa Saleh AllyVIJANA wawili wa Kitanzania, wameamua kukutana pamoja na kufanya kitu kwa ajili ya kurejesha katika jamii.Mbwana Samatta anayekipiga katika kikosi cha mabingwa wa Ubelgiji, KRC Genk na Ally Saleh Kiba, maarufu kama Alikiba, msanii nyota wa muziki nchini na Afrika. Kiba pia ni mchezaji wa Coastal Union inayoshiriki Ligi Kuu Bara.Wawili hawa...

YANGA WATOA TAMKO JINGINE JUU YA NDEMLA NA MKUDE

0

Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, ametamka kuwa hana mpango na viungo wa Simba, Jonas mkude na Said Ndemla ingawa baadhi ya viongozi wanawatamani.Kauli hiyo ameitoa juzi kwenye mahojiano maalum yaliyofanyika kwenye hoteli ya kisasa ya The Atriums Hotel iliyopo Sinza Afrikanasana jijini Dar es Salaam mara alipokutana na Waandishi wa Gazeti hili.Zahera alisema kuwa, kwa hapa nchini timu...

JINGINE LAIBUKA JUU YA MKATABA WA GADIEL YANGA, MILIONI 40 ZATAJWA

0

YANGA wamejiwekea msimamo kwamba wachezaji wote wazawa kila mmoja mkwanja wake wa usajili usizidi Sh.Mil 30 lakini kuna baadhi wanaweza kuwafi kiria kidoogo.Gadiel Michael ni mmoja wao. Sasa wakubwa wakamuendea hewani wakamwambia ; “njoo umwage wino kuna mil 40 hapa.”Gadiel akawaambia “niongezeeni kidogo kwavile mara ya kwanza mlinipa Mil 30 wakubwa” Yanga wakamwambia hamna noma njoo fasta tuyajenge, Gadiel...

HII SASA KAZI, AJIBU ATAKIWA NA BOSS WAKE KUTAJA SABABU ZINGINE ZA KUIKACHA TP MAZEMBE

0

Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera amesema kuwa kiungo wake mshambuliaji, Ibrahim Ajibu atafute sababu nyingine iliyomzuia kujiunga TP Mazembe ya DR Congo na siyo dau la usajili.Kauli hiyo aliitoa ikiwa ni siku chache ziibuke taarifa za dili la Ajibu kushindikana kwa kile kilichoelezwa kushindwana katika dau la usajili ambalo Mazembe walitenga dola 30,000 (zaidi ya Shilingi Milioni...

SAMATTA ATANGAZA KUREJEA SIMBA

0

Straika tegemo katika timu ya KRC Genk inayoshiriki Ligi Kuu Ubelgiji, Mbwana Samatta, amesema kuwa endapo atamaliza harakati za maisha yake ya soka atarejea Tanzania kuungana na Simba."Wachezaji wengi wakubwa wanapokaribia kustaafu soka hurudi kwenye vilabu vyao vya zamani ambavyo viliwatoa."Nilikuwa mchezaji wa Simba zamani, hata nitakaporudi baadaye nafikiri nafasi ya kwanza itakuwa kwa Simba kwa sababu niliwahi kuitumikia...

EXCLUSIVE: USAJILI WA BIGIRIMANA WAZUA MSALA YANGA, APR KUCHUKA HATUA ZA KISHERIA

0

Katibu Mkuu wa APR ya Rwanda Adolphe Kalisa, amefunguka kwa kusema kuwa ameshangazwa na Yanga kwa kumsajili mchezaji wake Issa Birigimana bila kufuata taratibu.Kalisa ameeleza kuwa ameshangazwa na klabu kubwa kama Yanga kufanya maamuzi hayo ili hali mchezaji huyo akiwa bado hajamaliza mkataba wake na APR.Yanga umemtangaza Birigimana kuwa mchezaji wake kwa kusaini mkataba wa miak miwili utakaomalizika mwaka...

Salimu Aiyee na kiboko ya Simba Sc wapo mtegoni.

0

Kagera Sugar na Mwadui Fc zimeingia katika hatua ya mtoano dhidi ya timu za ligi daraja la kwanza ili kuamua nani atabaki au atapanda Ligi Kuu.  Salimu Aiyee ni mfungaji bora kwa wazawa, lakini timu yake ipo hatarini kushuka daraja.Tazama ratiba yao hapa chini, na endelea kufuatilia kandanda kujua ni timu zipi zitapanda.Timu mbili zinasubiriwa kuungana na...