YANGA NOMA YATAWALA KIKOSI CHA KWANZA, MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO

0

MUONEKANO wa Ukurasa wa Mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano, Januari 15,2020, lipo mtaani

NAMNA SERIKALI ILIVYOMRUDISHA MO DEWJI SIMBA

0

Baada ya Mwekezaji Mkuu wa klabu ya Simba, Mo Dewji kutangaza kujiondoa katika Bodi ya klabu hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

NIYONZIMA AINYIMA UBINGWA SIMBA

0

Kiungo mtoa burudani awapo uwanjani, Haruna Niyonzima, amesema yupo katika kikosi cha Yanga ili kuipa ubingwa timu hiyo na si kitu kingine.Kauli ya Niyonzima...

KOCHA YANGA AANZA NA SIMBA, HILI NDIYO TAMKO LAKE

0

Siku chache baada ya Mbelgiji, Luc Eymael kutua nchini kuja kuinoa Yanga, ametamba kwamba anataka sana kukutana na wapinzani wao wa jadi Simba kutokana...

WINGA MZAMBIA MAMBO SAFI YANGA

0

Achana na uwezo mkubwa aliouonyesha starika Muivory Coast, Yikpe Gnaimen, unaambiwa yupo winga Mzambia, Eric Kabamba, huyu ni hatari na tayari benchi la ufundi...

MAXIME ASHANGAZWA NA MOHAMMED BANKA

0

Kiwango cha juu cha kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mohammed Issa ‘Banka’ ambacho hivi karibuni alikionyesha katika mchezo dhidi ya Simba, kimeonekana kumtisha Kocha Mkuu...

WINGA SIMBA ATUA YANGA KWA MILIONI 30

0

WINGA wa zamani wa Simba, Shiza Kichuya, amekubali kusaini mkataba wa kukipiga Yanga katika usajili wa dirisha dogo msimu huu wa Ligi Kuu Bara.Kichuya...

SAA 168 ZATENGWA YANGA, HII NDIYO MIKAKATI YAKE CHINI YA MBELGIJI

0

KOCHA mpya wa Yanga, Luc Eymael, raia wa Ubelgiji, amefunguka kuwa ametenga wiki moja, sawa na saa 168 kwa ajili ya kukitazama kikosi chake...

MANARA AZIDI KUUMIWA NA MTIBWA SUGAR, AFUNGUKA MENGINE MAZITO KUHUSIANA NA SIMBA

0

Wanasimba wenzangu!!Najua maumivu mliyopitia jana na nnafahamu karaha mnazopata toka kwa watani zetu, lakini niwaambie kitu kimoja, hili kwetu ni funzo, ni funzo kwa...

ALIYEELEZWA KUHITAJIKA YANGA APIGWA CHINI KENYA

0

KOCHA wa Bandari FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya, Bernard Mwalala ameondoka katika klabu hiyo baada ya matokeo mabaya kufuatia kipigo cha mabao 2-1...