KAMA UNADHANI MO ANAONDOKA SIMBA HILI NDIYO TAMKO LAKE
Ujumbe aliouandika Mwekezaji wa Simba Mohammed Dewji 'Mo' ikiwa ni baada ya sekeseke lililojitokeza hivi karibuni juu ya yeye kuelezwa kuwa ataachana na Simba.“Hate no one no matter how much they have wronged you. Live humbly no matter how wealthy you have become, think positively no matter how hard life is. Give much even if you have been given...
VITA YA NAMBA YANGA USIPIME
KUMEKUCHA Yanga! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya nahodha msaidizi wa timu hiyo, Juma Abdul kudai kuwa vita ya namba msimu ujao itakuwa ni balaa kutokana na usajili wa nguvu uliofanywa na uongozi wa timu hiyo hivi karibuni.Hayo ameyasema baada ya kuvutiwa na uwezo wa wachezaji wote wapya waliosajiliwa na timu hiyo hivi karibuni ambao wameonyesha uwezo mkubwa katika...
LIONEL MESSI ANABALAA KWENYE SUALA LA POCHI NENE, CR 7 HAONI NDANI
LIONEL Messi staa wa timu ya Taifa ya Argentina anayekipiga kwenye klabu ya Barcelona ni miongoni mwa nyota wanaoingiza mkwanja mrefu kutokana na kipaji chake.Anakuja kiasi cha pauni milioni 7.5 kwa mwezi sawa na sh.bilioni 21.5 za kibongobongo.Ndiye staa anayeongoza kwa kukunja mkwanja mrefu duniani kwa wanasoka wote ngoma inakwenda mpaka mwaka 2021 ni kwa mujibu wa jarida la...
ORIGI MCHAWI WA MABAO YA USIKU NDANI YA LIVERPOOL FURAHA KAMA YOTE
DIVOCK Origi ambaye tangu ajiunge na Liverpool inayotumia uwanja wa Anfield tangu mwaka 2014 akitokea kikosi cha Lille amekuwa ni mtu mwenye furaha muda wote na amesema kuwa hafikirii kuondoka ndani ya kikosi hicho.Origi ambaye ameongeza mkataba ndani ya kikosi hicho hivi karibuni na mabosi hao wakagoma kueleza muda wa mkataba wake zaidi ya kueleza kwamba ni mkataba mrefu amesema...
ZINEDINE ZIDANE AIKACHA KAMBI KUTOKANA MATIZO YA KIFAMILIA
ZINEDINE Zidane meneja wa Real Madrid ameondoka katika kambi ya timu hiyo kwa dharula na kurejea nchini Canada kutokana na kupata matatizo ya kifamilia.Meneja msaidizi David Betton kwa sasa ana jukumu la kusimamia mazoezi ya timu hiyo katika kipindi ambacho Zidane hatakuwepo.Uongozi wa Madrid umesema kuwa kwa kipindi ambacho hatakuwepo timu itakuwa chini ya Betton."Kwa kipindi ambacho hatakuwepo timu...
NIGERIA V SENEGAL NI MOTO WA KUOTEA MBALI LEO
KUMEKUCHA leo vita nyingine ya nusu fainali kwenye michuano ya Afcon inayoendelea nchini Misri ni kati ya Nigeria dhidi ya Algeria utakaopigwa majira ya saa 4:00 usiku uwanja wa kimataifa wa Cairo.Timu zote zimejipanga kiasi cha kutosha kutinga hatua ya fainali hivyo mchezo wa leo hautakuwa na wepesi hata kidogo.Wapinzani hawa tayari wameshawahi kumenyana mara nane kwenye michuano ya...
SENEGAL NA TUNISIA BONGE MOJA YA VITA YA KISASI LEO AFCON
MICHUANO ya Afcon bado inazidi kunoga ambapo kwa sasa ni hatua ya nusu fainali na Senegal itamenyana na Tunisia ni miongoni mwa mechi tamu na ngumu.Rekodi zinaonyesha kwamba mpaka sasa tayari Senegal na Tunisia zimemenyana mara tano kwenye michuano ya Afcon hivyo leo ni vita ya kisasi.Kwenye mechi zote hizo tano hakuna mbabe kwani walitoka sare mara tatu huku...
BOURNEMOUTH WAJANJA KWELI, WAIPA ARSENAL WINGA KWA HESABU
RYAN Fraser winga wa Bournemouth huenda akatua ndani ya kikosi cha Arsenal kwa ajili ya matumizi ya msimu ujao.Mkataba wa winga huyo mwenye umri wa miaka 25 unatarajiwa kuisha mwishoni mwa msimu ujao.Bournemouth wamepiga hesabu na kuona bora wamuuze kwa sasa kuliko msimu ujao ambapo wanaweza wasiambulie kitu kwa kumuacha akiwa mchezaji huru mwakani.
KWASI WA SIMBA HUYOO ANUKIA LIPULI
ASANTE Kwasi aliyekuwa beki wa zamani wa Mbao FC na Simba kwa sasa yupo kwenye hesabu za kutua ndani ya kikosi chake cha zamani Lipuli.Ofisa Habari wa Lipuli, Clement Sanga amesema kuwa hakuna tatizo kwa Kwasi kurejea ndani ya kikosi hicho endapo ataona inampendeza."Lipuli ni klabu bora ambayo haibagui wachezaji wenye uwezo ama wale ambao wanaona ni sehemu sahihi...
UHONDO WA TAMASHA LA FAITH BAPTIST KUNOGESHWA NA YANGA
TIMU ya Yanga inatarajiwa kucheza na klabu ya Mawenzi Market mchezo wa kirafki katika Tamasha Kubwa la Faith Baptist Church linalotarajiwa kufanyika Julai 28 uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Huu unakuwa ni mwaka wa tano kwa tamasha hilo kufanyika mkoani Morogoro.Mratibu wa Tamasha hilo, Mchungaji, Jerry Wyatt amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi uwanjani hapo."Kwa miaka minne tumekuwa na mechi kati...