MISRI YATUPWA NJE AFCON KWA KUCHAPWA BAO 1-0 NA AFRIKA KUSINI, LORCH APELEKA MSIBA

0

Game ya AFCON hatua ya 16 bora imekwisha na wenyeji Misri wanatupwa nje ya mashindano kwa bao 1-0 huku Afrika Kusini wakisonga mbele kwenye hatua ya robo fainali.Bao pekee la Afrika Kusini limefungwa na Thembinkosi Lorch mnamo dakika ya 85 ya kipindi cha pili.Misri sasa wanaungana na timu za Cameroon ambao nao leo wamekubali kichapo cha mabao 3-2 kutoka...

MAGORI AFUNGUKA JUU YA SUALA LA MO KUJIONDOA SIMBA

0

BAADA ya kuzuka ghafla kwa taarifa kuwa ndani ya uongozi wa Klabu ya Simba hakuna maelewano huku ikidaiwa mwekezaji klabuni hapo, Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa mbioni kung’atuka, Crescentius Magori amefunguka kila kitu.Taarifa za Mo kutaka kuondoka Simba zilianza kusambaa mitandaoni kuanzia Alhamisi lakini hakukuwa na kiongozi yeyote wa timu hiyo aliyeitisha mkutano wa wanahabari kwa ajili ya kuweka wazi...

GADIEL MICHAEL AIBUA JINGINE LA KUSHANGAZA YANGA, SIMBA WATAJWA

0

Inadaiwa kuwa beki wa Yanga, Gadiel Michael juzi jioni amesaini rasmi mkataba wa miaka mitatu ya kuichezea Simba kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.Gadiel amesaini mkataba huo wa kukipiga Simba ni baada ya mvutano wa muda mrefu kati yake na mwajili wake wa zamani Yanga katika dau la usajli ambalo ni Shilingi Milioni 60 alizokuwa anazihitaji.Beki...

ZAHERA AJA NA MIKAKATI MIPYA KABAMBE YANGA, TIMU KUWEKA KAMBI MOROGORO

0

Wakati Yanga ikianza maandalizi ya msimu ujao kesho Jumapili, Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Mwinyi Zahera amekuja na mkakati mpya kuhakikisha timu hiyo haifungwi mabao mengi msimu ujao.Yanga mpaka sasa imesajili wachezaji 13 wapya na leo Jumapili watakwenda mkoani Morogoro kuanza kambi ya pamoja kujiandaa na msimu mpya.Zahera ambaye kwa sasa yuko mapumzikoni baada ya timu yake ya Taifa...

DUH! BARCELONA WAMFUNGIA VIOO NEYMAR JUMLAJUMLA

0

JOSEP Bartomeu Rais wa Barcelona amesema kuwa klabu yake haina mpango wa kujaribu kupata saini ya kumpata mchezaji Neymar JR kwani Paris Saint Germain hawana mpango wa kumuuza."Najua kwamba Neymar anahitaji kurejea ndani ya kikosi cha Barcelona akitokea PSG lakini tunajua kwamba timu yake haiwezi kumruhusu arejee ndani ya kikosi chetu," amesema.Maneno haya yamemvunja moyo nyota huyo anayekipiga PSG...

FUKUTO LA MO NDANI YA SIMBA LIMEFIKIA HAPA

0

BAADA ya kuzuka ghafla kwa taarifa kuwa ndani ya uongozi wa Klabu ya Simba hakuna maelewano huku ikidaiwa mwekezaji klabuni hapo, Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa mbioni kung’atuka, Crescentius Magori amefunguka kila kitu.Taarifa za Mo kutaka kuondoka Simba zilianza kusambaa mitandaoni kuanzia Alhamisi lakini hakukuwa na kiongozi yeyote wa timu hiyo aliyeitisha mkutano wa wanahabari kwa ajili ya kuweka wazi nini kinaendelea.Kitendo cha Mo Dewji kuandika...

WACHEZAJI YANGA WACHELEWESHA KUANZA KWA KAMBI

0

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa mpango mkubwa wa kuweka kambi upo mikononi mwa wachezaji wa kigeni na ndani hivyo wakifika wote wataanza kambi.Akizungumza na Saleh Jembe, mratibu wa Yanga, Hafidh Saleh amesema kuwa mpango mkubwa ni kwa timu kuanza kambi mapema ila kinachowachelewesha ni wachezaji wa kigeni pamoja na wa ndani ambao bado hawajasawasili."Tayari kwa sasa wachezaji...

KOCHA SIMBA ATAJA KINACHOMFELISHA IBRAHIM AJIBU

0

KOCHA wa zamani wa kikosi cha Simba na Dodoma FC, Jamhuri Khiwelu 'Julio' amesema kuwa nyota mpya wa Simba, Ibrahim Ajbu ana uwezo na kipaji kikubwa kuliko nahodha wa timu ya Taifa, Mbwana Samatta anayekipiga KRC,Genk.Julio amesema kuwa kinachombeba Samatta ni juhudi na kujituma hivyo kama Ajibu atafanya hivyo atakuwa mbali."Huwa ninamwambia mara kwa mara Ajibu kila ninapokutana naye...

NYOTA WA SIMBA KUTIMKIA NAMUNGO FC

0

MOHAMED Rashid mshambuliaji wa Simba inawezekana msimu ujao akakipiga kwenye klabu mpya ya Namungo.Rashid amekuwa hana nafasi kubwa ndani ya KMC baada a mabosi hao kuonyesha dalili za kutaka kuachana naye msimu ujao baada ya kupata washambuliaji wapya.KMC ambayo ipo nchini Rwanda kwa ajili ya michuano ya Kagame imesajili washambuliaji watatu wakali kama Ramadhan Kapela, Vitalis Mayanga na Salim...