KICHAPO CHA 1-0 KUTOKA RUVU CHAAMSHA MACHUNGU YANGA, UONGOZI WATOA TAMKO ZITO
Baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara jana, uongoz wa klabu ya...
LEBO ZA KIMATAIFA, KIBA ANAKWAMA WAPI?
Mwaka huu unaweza kuwa mwaka wa mafanikio makubwa kwa staa wa muziki kutoka Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ baada ya kufanikiwa kufanya kolabo na staa...
KAGERE AAAMKA NA JIPYA SIMBA
Mshambuliaji tegemeo wa Simba Mnyarwanda, Meddie Kagere amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kuwa watafanya kila liwezekano wachukue ubingwa wa Ligi Kuu Bara na...
TAKWIMU ZA MCHEZO WA LEO UWANJA WA UHURU ZIPO NAMNA HII, YANGA WATANDAZA SOKA WAAMBULIA KICHAPO
Yanga leo imepoteza mchezo wake wa kwanza mbele ya Ruvu Shooting kwa kukubali kufungwa bao 1-0 lililopachikwa na Sadat Mohamed dakika ya 20.Ruvu Shooting...
RUVU SHOOTING YAFICHUA KILICHO NYUMA YA USHINDI WAO LEO MBELE YA YANGA
SADAT Mohamed, mshambuliaji wa Ruvu Shooting amesema kuwa amefurahi kuipa ushindi leo timu yake ya Ruvu Shooting mbele ya mabingwa wa kihitoria Yanga.Akizungumza mara...
YANGA YACHOMOLEWA BETRI MOJA BILA KWA YAI RUVU SHOOTING WAKIFUTA UTEJA DAR
Na George MgangaDakika 90 zimemalizika katika Uwanja wa Taifa kwa Yanga kupokea kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi ya kwanza...
LIVE! YANGA VS RUVU SHOOTING, LIGI KUU VODACOM
Zimesalia dakika chache kwa mechi hii kuanza, kuwa nasi hapa kwa UPDATES zote.
ZAHERA ATUMA UJUMBE KWA MASHABIKI YANGA
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ameandaa dozi maalum kwa ajili ya Ruvu Shooting mchezo utakaochezwa leo Uwanja wa Uhuru.Zahera alisema kuwa...
KISA MATUSI NA KEJELI SABABU YA SIMBA KUTUPWA NJE CAF, MANA ARA ATOA TAMKO
Alichokiandika Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara kuhusiana na kejeli pamoja na matusi anayoyapata mitandaoni kisa kutupwa nje CAF.
UONGOZI YANGA WAFUNGUKA KUVAA JEZI YENYE NEMBO NYEKUNDU VODACOM
Baada ya misimu kadhaa nyuma kugomea nembo ya mdhamini mkuu wa Ligi Kuu Bara ambaye ni Vodacom, uongozi wa Yanga umesema hauwezi kusema lolote...












