KWA USHINDANI ULIOPO KWA SASA KILA TIMU ISAJILI KIUFUNDI NA SIO BORA LIENDE

0

KATIKA vitu ambavyo viliziangusha timu nyingi zilizoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2018/19 ambao ulimalizika hivi karibuni, ni suala zima la usajili.Usajili huo ni ule wa dirisha kubwa ambao ulifanyika kabla ya kuanza kwa msimu pamoja na dirisha dogo ambapo una kawaida ya kufanyika mwishoni mwa mwaka.Timu nyingi zinapomaliza msimu, basi zimekuwa na kawaida ya kufanya usajili wa...

KESI YA AVEVA, KABURU, HANSPOPE YAKWAMA LEO

0
Habari za Simba leo

Kesi inayowakabili waliokuwa viongozi wa  Simba imeshindwa kuendelea kusikilizwa baada ya shahidi aliyeandaliwa  kufiwa na kushindwa kufika mahakamani.Kesi hiyo inawakabili  hao waliokuwa viongozi wa Simba Evans Aveva na Godfrey Nyange 'Kaburu'  ambao wanakabiliwa na shitaka la kughushi na kutakatisha  fedha huku Zachariah Hans Pope akiunganishwa katika kesi hiyo yeye kwa kudaiwa kuwasilisha nyaraka za uongo za ununuzi wa nyasi...

KESI YA JAMALI MALINZI YAPIGWA KALENDA

0

MAHAKAMA imeshindwa kuendelea kusikiliza  kesi inayowakabili waliokuwa viongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya Serikali kushindwa kuleta shahidi.Kesi hiyo ilitarajiwa kuendelea leo Jumatatu ambapo shahidi wa 14 angetoa ushahidi wake kwenye kesi hiyo.Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (Takukuru), Leonard Swai aliiambia mahakama kuwa hakupata muda wa kuandaa mashahidi kwa kuwa alikuwa...

MBADALA WA KINDOKI HUYU HAPA, ASAINI MIAKA MIWILI JANGWANI

0

IMEELEZWA kuwa mlinda mlango wa Mbao FC, Metacha Mnata amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu ya Yanga.Yanga kwa sasa ipo kwenye mpango wa kusuka kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao ambapo kwenye sekta ya mlinda mlango walikuwa na tatizo baada ya Beno Kakolanya kuvunja mkataba hivyo Klaus Kindoki alikuwa bado ana makosa mengi ya kiufundi.Metacha ambaye alikuwa...

LICHA YA KUPOKEA KICHAPO , KIBA AWASHURU MASHABIKI

0

MSANII wa muziki wa kizazi kipya Ally Kiba, amesema kuwa mashabiki wake na watanzania wanastahili shukrani kwa kujitoa kwa hali na mali kufanikisha zoezi la mchezo wao wa hisani uliochezwa jana uwanja wa Taifa.Kiba alicheza jana uwanja wa Taifa na timu ya Mbwana Samatta kwenye mchezo wa hisani na timu yake ilipoteza kwa kufungwa mabao 6-3."Kitu kizuri kwa ajili...

SAMATTA AWASHUKURU WATANZANIA KWA SAPOTI

0

BAADA ya Jana nahodha wa timu ya Tanzania, Mbwana Samatta kuongoza kikosi chake kuibuka na ushindi wa mabao 6-3 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya ndugu zake wa timu Kiba, Samatta amewashukuru watanzania kwa kujitokeza kwa wingi.Samatta na Ally Kiba walicheza mchezo wa hisani, uwanja wa Taifa ambao ulikuwa maalumu kwa ajili ya kurejesha walichokipata kwa jamii ulioandaliwa na...

LACAZETTE AIBUA MASWALI KUPITA MITAA YA BARCELONA

0

STRAIKA wa Arsenal, Alexandre Lacazette ameonekana katika mitaa ya jiji la Barcelona juzi na kuzua maneno. Baada ya kuonekana huko, ndio wadau wa soka wakadai kuwa Lacazette huenda ametua kukutana na viongozi wa klabu ya soka.Barcelona inajulikana inasaka straika wa kati na miongoni mwa mastaa akiwemo Lacazette . Lacazette amepachika mabao 19 katika mechi 48 ambazo ameichezea Arsenal msimu wa 2018/19.Klabu hiyo inatafuta mbadala wa Luiz...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0

MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu

JIPYA LAIBUKA JUU YA NINJA NA YANGA

0

INAELEZWA beki wa kati wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ anatakiwa na moja kati ya timu zinazoshirikiLigi Kuu ya Zambia lakini amepatwa na kigugumzi kufuatia viongozi wa timu hiyo kumtaka kwanza atulie.Beki huyo amemaliza mkataba na timu hiyo baada ya kujiunga nayo akitokea Taifa Jang’ombe kwa mkataba wa miaka miwili ambapo mpaka sasa licha kudaiwa kupata timu nchini Zambia.Chanzo cha...

MZEE MAGALI ALIVYOMWEKEA UPUPU MWALIMU WAKE

0

Mkali wa filamu za Kibongo, Charles Magali ameibuka na kuweka wazi siri aliyokuwa ameificha toka utotoni na kudai kuwa aliwahi kumuwekea mwalimu wake upupu kwenye kiti chake.Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Mzee Magali alisema katika maisha yake alikuwa mbabe tangu utotoni na anakumbuka alipokuwa shule kuna ugomvi ulitokea kati yake na wanafunzi wenzake, mwalimu akampiga kitendo kilichomkera na ndipo akajiapiza...