BET BUILDER, GEUZA MAARIFA YAKO YA SOKA KUWA PESA HALISI…

0
Meridianbet

Kwa wapenzi wa mpira wa miguu na wale miamba wa kubashiri, msimu mpya wa ligi umekaribisha fursa ya kipekee ya kuongeza furaha kwenye kila mechi. Meridianbet inakuleta Bet Builder, chaguo la kipekee linalokuwezesha kubadilisha maarifa yako ya michezo kuwa ushindi wa kweli. Sasa unaweza kuchanganya chaguo nyingi ndani ya mechi moja na kupata odds za kipekee zinazoongeza faida zako. Hii...

UJIO WA MERIDIANBET MWENGE WAFURAHIWA WA MAMA NTILIE…

0
Meridianbet

Katika juhudi za kuzidisha kurudisha kwa jamii, kampuni ya ubashiri Tanzania leo hii waliamua kurejesha kidogo ambacho wanakipata kwa kuwatembelea Mama Ntilie ambao wanapatikana Mwenge na kuwapatia Aprons. Kama ilivyo kawaida kwa binadamu yoyote yule hakuna ambaye anapenda kula chakula ambacho kimeendaliwa kwenye mazingira ambayo si safi na salama kabisa. Hivyo Aprons ni vazi muhimu sana kwa mpishi yoyote anayejali...

HUU HAPA MSHAHARA NA MALIPO MENGINNE YA SAMATTA KWENYE TIMU YAKE MPYA UFARANSA…..

0
Habari za Michezo leo

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta atakuwa akilipwa kibosi huko Ufaransa kufuatia kujiunga na Le Havre AC inayoshiriki Ligue 1, akiwa mchezaji wa kwanza kutoka Tanzania kuvaa jezi ya klabu hiyo kongwe. Kwa mujibu wa makadirio ya mishahara ndani ya Ligue 1, wachezaji wa timu za kiwango cha kati kama Le Havre hupokea kati ya Euro 50,000 hadi 150,000...

ODDS KUBWA, USHINDI MKUBWA, BET BOOST YA MERIDIANBET YAJA KUKUINUA…

0
Meridianbet

Meridianbet inaleta mapinduzi ya kweli kupitia huduma yake ya Bet Boost, njia ya kipekee inayokupa odds kubwa zaidi na kukuweka hatua moja karibu na ushindi wa ndoto zako. Bet Boost imeundwa kwa ajili ya mashabiki na wabashiri wanaotaka zaidi ya ilivyo kawaida. Kwa kipengele hiki, odds za mechi unazoziweka kwenye tiketi yako zinaongezeka, zikikupa nafasi ya kulipwa kwa kiwango kikubwa...

MERIDIANBET YAKULETEA BONASI MARA TATU KWA WAPENZI WA MICHEZO…

0
Meridianbet

Meridianbet inawapa wachezaji wapya fursa ya kufurahia zawadi kubwa kupitia bonasi yao inayofahamika kama 1st, 2nd & 3rd deposit welcome bonus. Kwa kujiunga na jukwaa hili bora zaidi la michezo ya ubashiri nchini, unajiweka kwenye nafasi kubwa ya kuondoka na bonasi kubwa sana kila ukiongeza dau kwenye akaunti yako. Unapoweka dau lako kwa mara ya kwanza ndani ya siku sita...

CHUKUA USHINDI WAKO MAPEMA NA MERIDIANBET….

0
Meridianbet

Leo tena ni siku nzuri ya wewe kuondoka tajiri na Meridianbet kwani tayari mechi zipo kwaajili yako sasa. Suka jamvi lako la ushindi hapa na uweke dau lako dogo kabisa hakuna kiasi cha kubashiri hapa. Viktoria Plzen yeye atakuwa mwenyeji dhidi ya Glasgow Rangers ya kule Austria ambao kushinda mechi hii ya leo ugenini wamepewa ODDS 4.60 kwa 1.67. Plzen...

ULIMWENGU MPYA WA USHINDI NA MERIDIANBET, NI ASPECT GAMING & SUPERSPADE GAMES…

0
Meridianbet

Meridianbet katika kuhakikisha ubora wa huduma zake, sasa inawapa wateja wake fursa ya kufurahia huduma za watoa huduma wawili wa kimataifa wenye sifa za hali ya juu, Aspect Gaming na Superspade Games. Wawili hawa wamekuwa vinara katika tasnia ya michezo ya kasino mtandaoni, wakiwa na uzoefu mrefu na ubora unaowafanya kuwa wa kipekee kati ya watoa huduma wengi. Kwa wapenzi...

FADLU ASHTUKA JAMBO ZITO SIMBA…..AWAPA MAELEKEZO MABOSI CHAP KABLA LIGI KUANZA….

0
Habari za Simba leo

Timu ya Simba inatarajia kuhamisha kambi yake huko Misri kutoka mji wa Ismailia kwenda jijini Cairo kutokana na sababu mbalimbali zilizotajwa na benchi la ufundi la timu hiyo. Akizungumza katika mahojiano maalumu kupitia tovuti ya Simba, Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema lengo la kuhamisha kambi kwenda Cairo ni kupata mechi nzuri za kirafiki zenye ushindani. “Tarehe 15 tutahamisha kambi kutoka Ismailia...

MERIDIANBET YAIZINDUA PLAYSON SHORT RACES, NAFASI YA KUONDOKA NA BILIONI 6…

0
Meridianbet

Meridianbet imefungua rasmi msimu mpya wa Playson Short Races, tukio la kusisimua kwa wapenzi wa michezo na kubashiri hapa Tanzania. Kuanzia saa 10:00 usiku hadi saa 02:50 usiku, wachezaji wana nafasi ya kushiriki katika mashindano ya kasi 10 kila siku, yanayowapa fursa ya kujikusanyia pointi na kuingia kwenye orodha ya washindi. Huu ni zaidi ya mchezo wa bahati nasibu kwani...

NAFASI KUBWA YA KUONDOKA NA MSHINDO IPO HAPA….

0
Meridianbet

Jumamosi ya mwisho kabla ligi kuanza hii hapa imefika ambapo wakali wa ubashiri wanataka kuhakikisha kuwa huondoki patupu. Tengeneza jamvi lako la ushindi sasa ujipigie mkwanja sasa. AC Milan watasafiri kukiwasha dhidi ya Leeds United ambao wamepanda ligi kuu ya Uingereza msimu huu. Milan wataka akuanza msimu mzuri hivyo kucheza mechi za kirafiki na timu ambazo nazo zinashiri ligi kuu...