RAIS WA FIFA AWAPA ZA USO MASHABIKI WALEZI QATAR…”USIPOKUNYWA BIA HAUFI”….

0

Rais wa FIFA, Gian Infantino amesema kutokuwepo kwa bia kwenye viwanja vya michuano ya Kombe la Dunia inayotarajiwa kuanza kesho huko Qatar ni safi tu. Katika mkutano wake na waandishi wa habari unaoendelea huko nchini Qatar, Infantino amesema mtu asipokunywa bia kwa masaa mawili au matatu haiwezi kuwa shida sana. "Usipokunywa bia kwa masaa mawili matatu, unaweza kuishi, kwa sababu utaratibu...

KOCHA MKUU SIMBA HUYU HAPA….ANATOKA URENO…MGUNDA ASHINDWA KUJIZUA..KAFUNGUKA HAYA…

0
Kikosi cha Simba SC Msimu huu wa 2022/23

Muda wowote kuanzia wakati huu mabosi wa Simba wapo kwenye hatua za mwisho kumtangaza kocha mkuu mpya ambaye mchakato wake wa kumpata umekamilika na anasubiri tiketi ya ndege ili kutua nchini Jumatatu. Kwa mujibu wa Gazeti maarufu la michezo la Mwanaspoti lilimshuhudia kiongozi mmoja wa juu akiwa na harakati za kufuatilia visa, tiketi ya ndege pamoja na kibali cha kazi...

RASMII….YACOUBA ATANGAZA KURUDI YANGA…KISINDA AU MAKAMBO KUMPISHA DIRISHA DOGO…

0

Yanga imepokea taarifa njema baada ya mshambuliaji wake, Yacouba Sogne kutamka hadharani kwamba sasa yuko sawa kurejea kazini ndani ya kikosi cha timu hiyo. Akizungumza Yacouba alisema baada ya kukaa nje kwa msimu mzima na nusu akiuguza majeraha ya goti lake kisha kupewa matibabu ya kisasa, sasa yuko tayari kurejea kazini kuitumikia timu hiyo. Novemba 2,2021 Yacouba aliumia katika dakika ya...

BAADA YA KUWA NA MSIMU MZURI…MASTAA SIMBA NA YANGA WAMPA USHAURI HUU FEI TOTO…

0

Kiungo Yanga, Feisal Salum 'Fei Toto' ametazamwa kwa jicho la tatu kwamba akiendelea kudumu na kiwango atazidi kujiandikia heshima ya kukumbukwa miaka ijayo kama ilivyo kwa baadhi ya wakongwe, ambao walifanya makubwa enzi zao. Mastaa wa zamani wa Simba na Yanga, walisema mchezaji anayepitia klabu hizo kongwe akifanya makubwa anabakia kwenye vitabu vya historia ya kusimuliwa vizazi na vizazi. Straika wa...

JICHOTEE MAPESA UTAKAVYO NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET….!

0

Mchezo wa Titan Roulette  Kama iliivyo ada,  Meridianbet inakuletea michezo ya aina mbalimbali, Ofa, Odds kubwa na Bonasi kibao. Meridianbet inakuletea mchezo bomba wenye miondoko ya kizamani unaojulikana kama Titan Roulette. Mchezo huu uliotengenezwa na watenganezaji wa michezo ya kasino Expanse Studios unapatikana kwenye Kasino ya Mtandoni ya Meridianbet. Titan Roulette ni mchezo wenye miondoko ya kizamani na wenye maudhui ya...

RASMI…TANZANIA KUANDAA AFCON ZOTE MBILI…TFF WAFUNGUKA A-Z MCHAKATO ULIVYO…

0

Tanzania imedhamiria kuandaa michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa wanaume itakayofanyika mwaka 2027 na ile ya wanawake ya mwaka 2026 na imeanza mikakati mapema ya kuboresha viwanja vilivyopo ili ikidhi vigezo vinavyohitajika. Hayo yalielezwa juzi na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia katika mkutano mkuu wa 17 wa kawaida wa shirikisho hilo uliofanyika jijini hapa, huku...

AHMED ALLY: KIBU DENIS HAPASWI KUPEWA PRESHA…AKIPATIA ATAPATIA, AKIKOSEA ATAKOSEA TENA…

0

Meneja wa Habari na Mawasilino wa Simba SC Ahmed Ally amejitokeza hadharani na kumkingia kifua Kiungo Mshambuliaji wa Klabu hiyo Kibu Denis. Kiungo huyo amekuwa na wakati mgumu msimu huu, huku akionyesha kushindwa kuwajibika kwa kuifungia Simba SC mabao muhimu licha ya nafasi anazopata kila anapopewa nafasi na Kaimu Kocha Mkuu Juma Ramadhan Mgunda. Ahmed Ally amechukua jukumu hilo, kwa kuandika...

HII HAPA ORODHA MPYA YA VINARA WA KUCHEKA NA NYAVU LIGI KUU TZ BARA…

0
Habari za Simba

Wachezaji 10 ambao ni vinara wa mabao kwa mechi zilizokwishachezwa kabla ya Novemba 18 katika michuano ya Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara ni kama ifuatavyo; 1. SIXTUS SABILO - Mbeya City (mabao 7) 2. MOSES PHIRI - Simba SC (mabao 6) 3. FISTON MAYELE - Yanga SC (mabao 6) 4. IDRIS MBOMBO - Azam FC (mabao 6) 5. RELIANTS LUSAJO - Namungo Fc...

STRAIKA SIMBA AUKUBALI MZIKI YANGA…CHAMA APEWA KAZI MPYA SIMBA…KAGERE ‘AMFUNDA’ MAYELE…

0

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la Championi la leo Jumamosi.

PALE MBELE SIMBA…VYUMA VITATU VYA KAZI VINASHUKA…KOCHA MKUU MPYA NI MRENO…

0

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la MwanaSpoti la leo Jumamosi.