UWANJA WA AZAM COMPLEX KUFANYIWA MABORESHO MENGINE MAKUBWA
MHANDISI wa Uwanja wa Azam Complex, Victor Ndozero amesema kuwa wameamua kufanya maboresho makubwa ya uwanja huo kwa sasa baada ya mabosi…
Browse all posts in this category.
MHANDISI wa Uwanja wa Azam Complex, Victor Ndozero amesema kuwa wameamua kufanya maboresho makubwa ya uwanja huo kwa sasa baada ya mabosi…
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa bado hesabu zao katika kuwania kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara zinaendelea kwani wana kikosi…
WAKATI ikielezwa kuwa kinara wa utupiaji ndani ya Ligi Kuu Bara kwa sasa Prince Dube anapigiwa hesabu na timu mbalimbali ndani ya…
OFISA Habari wa Azam FC amesema kuwa yeye mmoja ni sawa na Bumbuli, Antonio Nugaz ukichangaya na Dismas Ten unampata Zaka mmoja…
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Prince Dube amesema kuwa bao lake ambalo alifunga mbele ya Yanga ni maalumu kwa ajili ya timu yake,…
AZAM FC leo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja…
Kikosi cha Azam FC dhidi ya Yanga Mathias Kigonya Nico Wadada Bruce Kangwa Daniel Amoah Agrey Morris Ayoub Lyanga Mudhathir Yahya Braison…
REKODI zinaonesha kwamba, Oktoba 15, 2008, ilikuwa mara ya kwanza Yanga kukutana na Azam kwenye Ligi Kuu Bara ambapo matokeo ya mchezo huo, Yanga iliikaribisha vizuri Azam kwenye michuano…
KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Vivier Bahati amefunguka na kusema kuwa ingawa walipoteza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Yanga msimu huu katika Ligi…
LEO Aprili 25 Uwanja wa Mkapa majira ya saa 2:15 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa ushindani kati ya Yanga iliyo nafasi ya…
GEORGE Lwandamina, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Yanga unaotarajiwa…
VIVIER Bahati Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa bado jambo lao lipo palepale licha ya jana, Aprili 22, Uwanja wa Jamhuri,…