MBEYA CITY YAGOMEA KUSHUKA DARAJA
MENEJA wa Mbeya City, Mwegane Yeya, amesema kikosi hicho kinapambana kuhakikisha kinaibuka na ushindi kwenye mechi mbili zilizobaki kwenye Ligi Kuu Bara…
Browse all posts in this category.
MENEJA wa Mbeya City, Mwegane Yeya, amesema kikosi hicho kinapambana kuhakikisha kinaibuka na ushindi kwenye mechi mbili zilizobaki kwenye Ligi Kuu Bara…
IKIWA Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea Julai 14, mwaka huu baada ya mechi za viporo kumalizika, Ihefu FC inaendelea kujifua ikiiwinda Yanga. Timu hiyo ngeni ndani…
MSIMAMO wa Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni mzunguko wa pili kwa sasa na ni lala salama msimu wa 2020/21.
JUMA Kaseja, nahodha wa KMC amesema kuwa walifanya makosa mengi kipindi cha kwanza jambo ambalo liliwapa nafasi wapinzani kuweza kushinda mbele yao…
LEO Uwanja wa Mkapa saa 1:00 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya KMC v Simba, unaotarajiwa kuwa na ushindani…
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Ihefu FC ya Mbeya amesema kuwa wana kazi kubwa ya kufanya kwenye mechi zao ambazo zimebaki ili…
BARAKA Majogoro kiungo wa Mtibwa Sugar amesema kuwa imani yao kubwa ni kuona kwamba timu hiyo inabaki ndani ya Ligi Kuu…
MOHAMED Samatta, nahodha msaidizi wa KMC amesema kuwa kesho kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba wataibuka kivingine toafuati…
UONGOZI wa KMC umeweka wazi kwamba upo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa.…
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Ihefu FC ya Mbeya ana fupa gumu la kupasua ili kupata pointi sita muhimu zitakazompa nafasi ya…
UONGOZI wa Polisi Tanzania umeweka wazi kwamba utapambana kufikia malengo waliyojiweka kumalizi ligi ndani ya tano bora. Ikiwa imecheza jumla ya mechi…
YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Nassredine Nabi, jana ilitibua sherehe za ubingwa wa Simba kwa kuichapa bao 1-0 mbele ya Rais wa…