Simba SC

Browse all posts in this category.

Post thumbnail placeholder
Simba SC

CHIKWENDE KUVUNJIWA MKATABA SIMBA, KAHATA MAMBO BADO

KLABU ya Simba, inafikiria kusitisha mkataba wa kiungo wake mshambuliaji raia wa Zimbabwe, Perfect Chikwende huku ikipanga kumuongezea mkataba Francis Kahata.   Mkataba wa Kahata unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu…

Jun 1, 2021
Post thumbnail placeholder
Simba SC

SIMBA KUWAFUATA RUVU SHOOTING LEO

 KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes leo Juni Mosi kinatarajiwa kukwea pipa kuelekea Mwanza kwa ajili ya mchezo wa…

Jun 1, 2021
Post thumbnail placeholder
Simba SC

NYOTA WATATU SIMBA WAWANIA TUZO

 NYOTA watatu wa kikosi cha Simba wameingia katika kinyang’anyiro cha kusaka mchezaji bora wa mwezi Mei. Tuzo hiyo ni maalumu kwa ajili…

May 30, 2021
Post thumbnail placeholder
Simba SC

BAO LA MORRISON LIRURIDWE..LIRUDIWE..HATUJALIONA VIZURI

MASHABIKI wa Simba jana baada ya Bernard Morrison kufunga bao kali dhidi ya Namungo, walilipuka kwa sauti kubwa wakisema: “Bao la Morrison lirudiwe, hatujaliona vizuri.   ”Morrison alifunga bao hilo dakika…

May 30, 2021