WACHEZAJI WA SIMBA WALIVYOTUMIA DAKIKA ZAO HATUA YA MAKUNDI CAF
HAIKUWA kazi rahisi kwa wachezaji wa Simba chini ya Didier Gomes kupenya hatua ya robo fainali baada ya kucheza mechi tano wakiwa…
Browse all posts in this category.
HAIKUWA kazi rahisi kwa wachezaji wa Simba chini ya Didier Gomes kupenya hatua ya robo fainali baada ya kucheza mechi tano wakiwa…
KATIKA kuonyesha kweli wao ni moto wa kuotea mbali msimu huu, kikosi cha klabu ya Simba kimekimbiza kwelikweli kitakwimu katika michuano…
WAKIWA wanajiandaa na mchezo wao wa leo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya klabu ya Al Ahly, Uongozi wa klabu…
HAKUNA kulala! Ndivyo utakavyosema mara baada ya kutua Cairo, Misri kikosi cha Simba kilifanya mazoezi kwa saa mbili katika kujiandaa na mchezo wao dhidi ya Al Ahly.Yote hayo ni katika kujiandaa…
SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Klabu ya Simba amesema kuwa wanatambua wapinzani wao Al Ahly kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika…
DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa mchezaji wake Bernard Morrison amekuwa akifanya majukumu yake kila anapopewa kwa kushirikiana na wengine.…
IMEFAHAMIKA kuwa Simba imetumia kitita cha shilingi bilioni moja katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Simba tayari imefuzu hatua ya robo fainali ya michuano…
UBORA wa Simba, umeonekana ni kikwazo kwa mastaa wa timu hiyo, Benard Morrison, Ibrahim Ajibu na Gadiel Michael, kufurukuta mbele ya washindani…
KIKOSI cha Simba leo kitaendelea kujifua kwa mara ya mwisho kuanzia saa 3:00 usiku kabla ya mchezo wao wa kesho Ijumaa dhidi…
Wakati msafara wa Simba ukitua Misri leo tayari kwa mechi dhidi ya Al Ahly itakayofanyika Ijumaa (saa 4.00 usiku kwa saa…
DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa amewaambia wachezaji wake wote lazima wapambane kwenye mechi yao ya mwisho dhidi ya Al…
IMEELEZWA kuwa miongoni mwa wachezaji ambao hawatakuwa sehemu ya kikosi cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara msimu ujao ni pamoja…