TUWAELEWE SIMBA WAMEAMUA KUANZA UPYA
SIMBA imeshusha nyota takribani saba wa kigeni katika dirisha hili dogo la usajili huku ikifungulia milango wengine kwa kuwaondoa katika kikosi chake…
Browse all posts in this category.
SIMBA imeshusha nyota takribani saba wa kigeni katika dirisha hili dogo la usajili huku ikifungulia milango wengine kwa kuwaondoa katika kikosi chake…
KOCHA mkuu wa Yanga SC, Pedro Goncalves, amewapa majukumu mazito washambuliaji wake wakiongozwa na Prince Dube na Allan Okello kuhakikisha wanatumia kila…
KIKOSI cha timu ya Al Ahly ya Misri kumesafiri leo Januari 29 kuelekea Zanzibar kwa ajili ya kuikabili Yanga SC katika mchezo…
KLABU ya Simba imeendelea kuvuna matunda ya mipango yake ya usajili baada ya kufanikiwa kumnasa kiungo mshambuliaji, Inno Jospin Loemba, hatua ambayo…
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC Complex uliopo Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi, baada…
Leo ndio leo asemaye kesho muongo, hii ni kauli ya waswahili ambayo ina maana kuwa jambo ambalo linawezekana leo lifanyike leo na…
BAADA ya klabu ya Simba SC kumtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji Iñno Jospin Loemba, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu…
LICHA ya Simba kupoteza dhidi ya Esperance de Tunis ya Tunisia, lakini Waarabu hao hawawezi kuwasahau nyota watatu wa kikosi hicho cha…
BAADA ya sare ya bao 1-1 ugenini dhidi ya Coastal Union, kocha Mkuu wa KMC, Mohammed Abdallah ‘Bares’ amesema kikosi chake bado…
KIKOSI cha wachezaji 21 cha Singida Black Stars, kimeelekea nchini Congo kucheza mechi ya nne hatua ya makundi katika Kombe la Shirikisho…
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally, amewataka Wanasimba kuacha lawama na kulaumiana. Amesisitiza kuwa huu ni wakati wa…
Afcon Kibosi Zaidi ni kampeni kutoka kampuni ya ubashiri ya wasafibet ambayo iliendeshwa kutokana na michuano ya Afcon iliyofanyika Disemba 21 2025…