Meridianbet inawapa wachezaji wapya fursa ya kufurahia zawadi kubwa kupitia bonasi yao inayofahamika kama 1st, 2nd & 3rd deposit welcome bonus. Kwa kujiunga na jukwaa hili bora zaidi la michezo ya ubashiri nchini, unajiweka kwenye nafasi kubwa ya kuondoka...
Leo tena ni siku nzuri ya wewe kuondoka tajiri na Meridianbet kwani tayari mechi zipo kwaajili yako sasa. Suka jamvi lako la ushindi hapa na uweke dau lako dogo kabisa hakuna kiasi cha kubashiri hapa.
Viktoria Plzen yeye atakuwa mwenyeji...
Meridianbet katika kuhakikisha ubora wa huduma zake, sasa inawapa wateja wake fursa ya kufurahia huduma za watoa huduma wawili wa kimataifa wenye sifa za hali ya juu, Aspect Gaming na Superspade Games. Wawili hawa wamekuwa vinara katika tasnia ya...
Timu ya Simba inatarajia kuhamisha kambi yake huko Misri kutoka mji wa Ismailia kwenda jijini Cairo kutokana na sababu mbalimbali zilizotajwa na benchi la ufundi la timu hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu kupitia tovuti ya Simba, Kocha Mkuu Fadlu Davids...
Meridianbet imefungua rasmi msimu mpya wa Playson Short Races, tukio la kusisimua kwa wapenzi wa michezo na kubashiri hapa Tanzania. Kuanzia saa 10:00 usiku hadi saa 02:50 usiku, wachezaji wana nafasi ya kushiriki katika mashindano ya kasi 10 kila...
Jumamosi ya mwisho kabla ligi kuanza hii hapa imefika ambapo wakali wa ubashiri wanataka kuhakikisha kuwa huondoki patupu. Tengeneza jamvi lako la ushindi sasa ujipigie mkwanja sasa.
AC Milan watasafiri kukiwasha dhidi ya Leeds United ambao wamepanda ligi kuu ya...
WANACHAMA na viongozi wa Yanga wameitana jijii Dar es Salaam mwezi ujao kwa lengo la kujadili mambo yao kabla hata msimu mpya wa mashindano wa 2025-2026 haujaanza.
Wanayanga wanatarajiwa kukutana katika Mkutano Mkuu ulioitishwa na uongozi wa klabu hiyo utakaofanyika...
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba ambayo ni namba 5 kwa ubora afrika na Yanga ambao ni namba 12 kwa ubora zimepangwa kwa pamoja kuanzia hatua ya awali ya raundi ya kwanza...
LICHA ya kwamba haikuonyesha kiwango cha kutisha kulinganisha na ilivyocheza mechi ya ufunguzi wa fainali za CHAN 2024, lakini rekodi zimeandikwa na Taifa Stars imewapa kile ambacho Watanzania walio wengi wana hamu ya kukiona.
Stars ilipata ushindi wa pili mfululizo...
KATIKA kambi ya mazoezi ya Yanga yanayoendelea kwa sasa pale KMC Complex, Dar es Salaam ikijiandaa na msimu mpya wa mashindano kuna balaa la mastaa wapya wa timu hiyo lakini gumzo ni Moussa Bala Conte na AbdulNasir Mohammed βCasemiroβ.
Yanga...