Vita ya Kileleni Kundi A! Morocco na Algeria Kukipiga, Kenya na Senegal Kusaka Pointi za Kwanza
Baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa hatua ya makundi katika Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), leo macho na…
Baada ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza wa hatua ya makundi katika Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON), leo macho na…
Klabu ya FC St Eloi Lupopo kutoka nchini DR Congo inatarajiwa kutua nchini Tanzania muda wowote kuanzia sasa kwa ajili ya kuweka kambi ya kujiandaa…
Saa zinaendelea kuyoyoma huku mashabiki wa UFC duniani wakianza kuhesabu muda uliobaki kabla ya usiku mkubwa wa UFC Fight Night Belgrade utakaotikisa Belgrade Arena nchini Serbia…
MSHAMBULIAJI mpya wa Singida Black Stars, Mathew Tegisi, ameanza kuwa gumzo katika Kombe la CECAFA Kagame baada ya kuonyesha makali yake katika mchezo wa pili…
Kiungo mpya wa Singida Black Stars, Ladack Chasambi, amefunguka kuhusu sababu zilizomfanya achague kujiunga na miamba hiyo ya Singida, akitaja fursa ya kushiriki michuano ya…
KIKOSI cha Mashujaa FC kipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa beki wa kati, Abdulmajid Mangalo, kutoka Pamba Jiji ili kuimarisha safu yao ya…
KUREJEA kwa kiungo mshambuliaji raia wa Afrika Kusini, Neo Maema, ndani ya kikosi cha Simba SC kunatarajiwa kuleta mabadiliko makubwa kwenye safu ya wachezaji wa…
Uongozi wa klabu ya Simba SC umewataka mashabiki wa timu hiyo kutokuwa na wasiwasi wowote kufuatia matokeo ya sare mbili mfululizo katika michuano ya CECAFA…
Meridianbet imeweka alama kubwa ndani ya mtaa wa Mivinjeni, kata ya Buguruni kwa kuendesha kampeni maalum ya kusaidia familia zenye uhitaji. Tukio hili lilikuwa ni alama ya…
Timu kibao leo hii zitakuwa uwanjani kusaka tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya mabingwa msimu ujao. Wakali wa ubashiri wamekuwekea Odds uzitakazo na machaguo…