Rosenborg na Manchester United Kukipiga Mechi ya Kirafiki
Leo Ijumaa, Julai 24, klabu ya Kinorwe Rosenborg BK itapokea wageni wazito kutoka Uingereza, Manchester United, katika mchezo wa kirafiki utakaofanyika kwenye uwanja wa Lerkendal…
Leo Ijumaa, Julai 24, klabu ya Kinorwe Rosenborg BK itapokea wageni wazito kutoka Uingereza, Manchester United, katika mchezo wa kirafiki utakaofanyika kwenye uwanja wa Lerkendal…
Timu ya Taifa ya ngumi ya ridhaa ya Tanzania leo imeanza rasmi safari ya kusaka medali na heshima katika Michezo ya Jumuiya ya Madola 2026…
Zaidi ya miaka mitatu tangu kuvunjika kwa ndoa yake na aliyekuwa Ofisa Habari wa Simba na Yanga, Haji Manara, mwanadada Rushayna amerejea tena kwenye vichwa…
Uhusiano wa msanii Harmonize na mwigizaji Kajala Masanja umeingia tena kwenye vichwa vya habari, huku maswali mengi yakikosa majibu kuhusu hatma ya penzi lao linaloendelea…
MBEYA: Uongozi wa klabu ya Mbeya City upo kwenye hatua za mwisho za kunasa saini ya aliyekuwa kipa wa Mtibwa Sugar, Toba Kutisha, baada ya…
Aliyewahi kuwa mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Tariq Seif Kiakala, yuko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kujiunga na kikosi cha Namungo FC kwa…
Ni suala la muda tu kabla ya Singida Black Stars kukamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo mshambuliaji machachari wa Simba SC, Jean Charles Ahoua, ili kuimarisha…
DAR ES SALAAM: Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano wa Klabu ya Simba, Idd Kajuna, amezikwa jioni ya leo Julai 23, 2026 katika Makaburi…
Dunia ya michezo ya mapambano inajiandaa kushuhudia historia mpya tarehe 1 Agosti 2026, ambapo UFCÂ itafanya tukio lake la kwanza kabisa nchini Serbia. Miongoni mwa washirika…
Leo Alhamisi tarehe 23 Julai, uwanja wa Kybunpark mjini St. Gallen, Uswisi, utakuwa mwenyeji wa mchezo mzito wa raundi ya pili ya kufuzu Europa League…