HAIKUWA rahisi. Ndiyo, lakini mambo ndo kama mlivyosikia. Yanga imetinga hatua ya makundi kwa mara ya tatu mfululizo Ligi ya Mabingwa Afrika na ya nne mfululizo kwa michuano yote ya CAF ikiwa ni rekodi binafsi.
Yanga ilikuwa na kibarua kigumu...
BAADA ya kuandika rekodi akiwa na Yanga kwa kuipeleka makundi ya michuano ya CAF ikiwa imepita miaka 25 akiinoa timu hiyo katika msimu wake wa kwanza, kocha Miguel Gamondi amerudia tena akiivusha Singida Black Stars katika Kombe la Shirikisho...
SIMBA imeweka rekodi mpya baada ya kufuzu hatua ya makundi kwa mara ya saba katika miaka minane, lakini kama taifa kukiwa na rekodi nyingine kali ya kufanikiwa kuingiza timu nne kwenye michuano ya CAF kwa mara ya kwanza.
Kuanzia mwaka...
Meridianbet, kampuni bora zaidi ya ubashiri nchini imezindua rasmi mchezo bomba na mpya wa kasino unaoitwa Gates of Halloween, hatua inayofungua ukurasa mpya wa mapinduzi katika ulimwengu wa burudani mtandaoni.
Tofauti na michezo mingine ya kawaida, Gates of Halloween si...
Wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanakwambia kuwa leo hii una nafasi nzuri kabisa ya kuondoka na kitita cha pesa endapo utasuka jamvi lako la ushindi hapa. Timu kibao zipo kwaajili yako leo.
Ligi kuu ya Egypt, yaani PREMIER LEAGUE kuna...
Je unajua kuwa leo hii unaweza kutimiza ndoto zako na Meridianbet?. Bashiri mechi za ligi kuu kuanzia EPL, Laliga, Bundesliga Ligue 1 na zingine kibao. Suka jamvi lako la ushindi sasa.
SERIE A kule Italia nako itaendelea ambapo AS Roma...
BEKI wa Simba, Antony Mligo ametaja sababu ya kukwepa kuvaa jezi namba 15 na kuchukua namba tano Msimbazi huku akimtaja nahodha wa zamani wa timu hiyo, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’.
Wakati huohuo ameeleza kuwa hakuna mtu wa kuzuia mafanikio ya timu...
KUNA mambo mawili Simba inakabiliana nayo leo Jumapili inapoikaribisha Nsingizini Hotspurs kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, ikiwa ni mechi ya marudiano ya hatua ya pili ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kuwania kufuzu makundi.
Jambo...
KWA kinachofanywa na Morice Abraham ndani ya kikosi cha Simba bila shaka Elie Mpanzu, Jean Charles Ahoua, Kibu Denis na Neo Maema wakizubaa tu imekula kwao.
Unajua kwa nini? Kuna wakati nyota mpya huibuka kimyakimya, bila ya kelele nyingi, lakini...
Msimu huu wa Halloween, Meridianbet inakuletea Trick or Treat Bonanza, mchezo mpya uliojaa ladha ya kipekee, ubunifu wa hali ya juu, na fursa kubwa za ushindi ambazo hazijawahi kutokea. Huu sio mchezo wa kawaida wa kasino, bali ni mlango...









