Home Blog Page 2
Je unajua kuwa leo hii usiku wa Ulaya unaanza?. Timu mbalimbali kutoka Mataifa mbalimbali zinachuana vikali kusaka pointi tatu muhimu. Leo hii kuna Arsenal. Real Madrid, PSV na wengine wengi. Wewe chuana na Meridianbet kupata ODDS za kibabe na...
Je unajua afya bora ni mtaji kwako?. Kama ulikuwa hujui basi ndio nimekupa taarifa leo na kwa kuwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet wanajua umuhimu wa kuwa na afya bora na kutunza mazingira leo hii waliamua kutembelea hospitali ya...
Ligi kubwa Duniani zinatarajiwa kuendelea siku ya leo huku nafasi ya wewe kuondoka na mpunga mrefu kabisa . Baada ya mapumziko ya Kimataifa sasa ni muda wa kunufaika kwa kusuka jamvi lako la ushindi. Tengeneza pesa siku ya leo...
Meridian Bonanza imeingia sokoni kwa kishindo, ikiwa ni mchezo mpya wa kubashiri unaochanganya teknolojia ya kisasa, burudani ya hali ya juu, na fursa halisi za ushindi. Imeundwa kwa ubunifu unaomweka mchezaji katikati ya tukio, huku kila mzunguko ukileta msisimko...
Bashiri mshindi wa kombe la FA Uingereza leo hii ndani ya Meridianbet na uweze kuibuka na mshiko wako siku ya fainali. ODDS za kibabe zipo hapa hivyo usipitwe na fursa hii ya kibabe ambayo imekujia mkononi mwako leo. Bingwa mtetezi...
Mashabiki wa michezo ya kasino wanakaribishwa kushiriki katika tukio la kipekee la “Champions Clash” linaloendeshwa na Pragmatic Play ndani ya Meridianbet kuanzia Septemba 11 hadi 17, 2025. Katika kipindi hiki cha siku saba, wachezaji wataingia kwenye uwanja wa ushindani...
TAMASHA la Simba Day limehitimishwa kwa mechi ya kirafiki wa kimataifa uliozikutanisha Simba dhidi ya Gor Mahia ya Kenya. Mchezo huo uliofanyika jana Septemba 10, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Simba imeibuka na ushindi wa mabao...
UTAMBULISHO wa kikosi cha Simba SC kwa msimu wa 2025-2026, umeteka hisia za mashabiki wa timu hiyo waliofika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam huku mastaa wawili Shomari Kapombe na Elie Mpanzu wakiibua shangwe lililopitiliza. Zoezi hilo la utambulisho...
BAADA ya Mohamed Hussein 'Tshabalala' kuondoka Simba, timu aliyoitumikia kwa takribani miaka kumi, sasa kuelekea msimu wa 2025-2026, mikoba yake ipo kwa David Kameta 'Duchu'. Tshabalala ambaye alikuwa nahodha wa Simba, msimu ujao atakuwa na kikosi cha Yanga alichojiunga nacho...
KATI ya wachezaji 11 wapya waliotua Yanga kwa ajili ya msimu wa 2025-2026, kiungo mshambuliaji Celestine Ecua mapema tu ameonekana kuwashtua mabosi wa timu hiyo. Ecua ambaye hivi karibuni akiwa na kikosi cha timu ya taifa ya Chad alifunga bao...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS