Home Blog Page 8
KLABU ya Yanga imeanza mikakati kabambe ya kuhakikisha inapata ushindi katika mchezo wake wa Ngao ya Jamii dhidi ya watani zao wa jadi, Simba, unaotarajiwa kupigwa, Septemba 16, mwaka huu, Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Makamu wa Rais,...
LEONEL Ateba amepewa ‘thank you’ pale Msimbazi. Simba wamepata sehemu nzuri ya kutokea kwa Ateba. Hawana lawama naye kwa sababu wamemuuza kwenda katika klabu ya Al-Shorta ya Irak. Mabosi wa Simba watakuwa wanatabasamu pindi wanapotazama muamala wa Waarabu ulioingia...
Wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni wanashuhudia fursa mpya ya kipekee kutoka Meridianbet. Wote waliosajiliwa na wale ambao bado hawajasajili, sasa wana nafasi ya kupata bonasi za beti za bure hadi 500 kila siku kwa kucheza mchezo maarufu wa...
KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua jijini Cairo, Misri kujiandaa na msimu mpya wa mashindano, lakini kuna straika mmoja aliyesajiliwa hivi karibuni ametua jijini Dar es Salaam ili kuisubiri timu hiyo itakaporejea nchini kwa ajili ya Tamasha la Simba Day. Tamasha...
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga Pacome Zouzoua pamoja na straika mpya, Andy Boyeli wameachiwa msala katika kikosi hicho kwa msimu wa 2025-2026. Pacome anayeitumikia Yanga kwa msimu wa tatu ameachiwa msala wa Stephane Aziz KI aliyetimkia Wydad Casablanca ya Morocco akiwa...
Jumatano ya Maokoto imewadia timu kibao zipo dimbani kuhakikisha huondoki patupu. ODDS za kibabe zipo Meridianbet sasa suka jamvi lako hapa kwenye mechi za Carabao Cup na za kufuzu UEFA. Mechi za kufuzu Ligi ya Mabingwa mechi za mwisho kupigwa...
Je unajua kuwa ushindi wako siku ya leo upo Meridianbet kwenye mechi za Carabao Cup?. Mechi kibao kupigwa kwenye viwanja mbalimbali huku timu hizo zikiwa na ODDS za kibabe. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. AFC Bournemouth atamenyana dhidi...
Kasino mtandaoni sasa ni kituo kikuu cha burudani kwa wapenzi wa michezo ya kubashiri, na Meridianbet imechukua hatua ya kusisimua kwa kuwaletea wachezaji wake mtoaji mpya wa huduma ya michezo ya sloti, Ruby Play. Hatua hii inafungua mlango wa ulimwengu...
SIMBA inaendelea kujifua kambini jijini Cairo, Misri chini ya kocha Fadlu Davids, lakini kuna mashine mbili mpya zinasubiriwa huko ili kuungana na wenzao walitangulia mapema. Awali Simba ilipiga kambi ya mazoezi ya maandalizi ya msimu mpya katika mji wa Ismailia,...
KAMBI ya Yanga imezidi kunoga kule Avic Town, Kigamboni Dar es Salaam, lakini jana ilikuwa katika mapumziko flani mafupi na kazi itaendelea leo Jumatatu, huku kocha wa timu hiyo, Romain Folz akitoa msimamo mzito ambao mabosi wa klabu wameafikiana...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS