SIMBA WAAMUA…PABLO ASHTUKIA MCHEZO..AHAHA KUOMBA KIKAO…BWALYA APIGWA BEI SAUZI…AZAM WAIPORA BEKI…
Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la MwanaSpoti leo Jumanne.
RASMI…YANGA WATANGAZA KUACHANA NA SAIDO NTIBAZONKIZA…..KUPISHANA NA MORRISON SIMBA….
Uongozi wa Yanga SC umetangaza kumalizana na Mchezaji Saidi Ntibazonkiza huku taarifa hiyo ikisema Mchezaji huyo amemaliza mkataba wake wa miaka miwili.Taarifa ya Yanga...
PITSO MOSIMANE NA AL AHLY KUANDIKA HISTORIA MPYA LEO…NI WAARABU vs WAARABU LIGI YA...
Kocha wa klabu ya Al Ahly, Pitso Mosimane anajianda kutengeneza ufalme wake kwenye soka Barani Afrika ambapo anakwenda kuingoza klabu hiyo ya Misri kwenye...
AHMED ALLY :- MASHABIKI WA SIMBA WAJUE RASMI MSIMU HUU TUNAMALIZA PATUPU…HATUJAZOEA HIVI…
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba SC Ahmed Ally, ameendelea kuwasili Mashabiki na Wanachama wa klabu hiyo kuwa watulivu katika kipindi...
ULE MPANGO WA BWALYA KUTAKIWA AFRIKA KUSINI UKO HIVI….AMAZULU FC WAANZA KUTUPA ‘NDOANO BAHARINI…’
Wakati Tetesi zikieleza kuwa huenda Simba SC wakamuacha Rally Bwalya mwishoni mwa msimu huu, Kiungo huyo anatajwa kuwindwa na klabu ya Amazulu FC inayoshiriki...
KUELEKEA MECHI ZA KUFUZU ‘AFCON 2023’…TAIFA STARS HAWATAKI MZAHA AISEE…WAAMUA KUTUMIA MBINU ZA SIMBA….
Shirikisho la Soka nchini Tanzania ‘TFF’ limetangaza ratiba maalum ya maandalizi kwa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ iliyoanza kambi jana Jumapili (Mei 29) Jijini...
BAADA YA KUPANDA LIGI KUU KWA MSIMU UJAO…DTB FC WABADILI JINA ….MCHAKATO MZIMA UKO...
Klabu ya DTB FC itakayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2022/23, inahusishwa na mpango wa kubadilishwa jina, baada ya kutumia jina lake halisi...
KIMEUMANA SIMBA….RAGE AMSHUKIA MO DEWJI JUMLA JUMLA…ATAKA BARBRA NA WENZAKE WATIMULIWE…
Mwenyekiti wa zamani Simba, Ismail Aden Rage amemtaka Mwekezaji wa Klabu hiyo Mohamed Dewji (Mo) kuivunjilia mbali Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo kwani...
NI MO DEWJI TENA….ATUMIA ‘TWEETER’ YAKE KUJIBU MAPIGO …ASHUSHA ‘NONDO ZA MAANA’ KUHUSU SIMBA…
Raisi wa Heshima wa Klabu ya Simba Mohamed Dewji ‘Mo’ amewajibu baadhi ya wadau wa soka nchini wanalioibuka na kuhoji baadhi ya mambo kwenye...
KISA ‘MGOLI WA KIBABE’ WA FEI TOTO DHIDI YA SIMBA….SHABIKI YANGA AFARIKI KWA KUZIDIWA...
Imekuwa ni wakati wa simanzi na vilio kwa familia ya James Mhamba (60) ambaye alikuwa shabiki wa Timu ya Yanga na mkazi wa Rwamishenye...