KAMERA ZA AZAM TV ZILIVYOMNASA NABI AKIWA ANAIPIGA SIMBA CHABO CHAMAZI JANA…
Kocha Mkuu wa Young Africans, Nasreddine Nabi jana Jumatano (Mei 18) alionekana kwenye uwanja wa Azam Complex kushuhudia mchezo wa ligi kati ya wenyeji...
AZAM FC WAMSHUSHIA LAWAMA MWAMUZI WA JANA…WADAI IMETOSHA…WAHOJI KWA NINI KILA SIKU WAO TU..?
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino Azam FC Thabit Zakaria ‘Zakazakazi’ amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania ‘TFF’ kupitia kamati ya Waamuzi, kumfikiria Mwamuzi...
BAADA YA SIMBA KUPATA SARE JANA…AHMED ALLY AIBUKA NA KULIA NA HILI…”YAMETUACHA NA HUZUNI..WANAMASONONEKO”…
Meneja wa Habari na Mawasilino wa Simba SC Ahmed Ally amesema hawajapendezwa na matokeo ya jana Jumatano (Mei 18) dhidi ya Azam FC, waliokua...
KISA SIMBA KUPIGWA FAINI NA CAF….MANARA ATAKA KUJIUA…ADAI NCHI IMEAIBISHWA…MASHABIKI WASHUKA NAYE MAZIMA…
Ikiwa ni saa chache baada ya Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kuiadhibu Klabu ya Simba kwa kuipiga faini ya Tsh milioni 23 kwa...
KAMA KAWA..NABI KABAMBWA CHAMAZI AKIIPIGA CHABO SIMBA AISEE…ALIJIPIGA NGUO NYEUSI ASITAMBULIKE…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameonekana kwenye uwanja wa Azam Complex kushuhudia mchezo wa ligi kati ya wenyeji Azam FC na Simba.Nabi ameonekana...
BODI YA LIGI YAMSHUKIA JUMLA JUMLA MASOUD DJUMA KWA KUPIGANA MATEKE NA MCHEZAJI WAKE…
Kocha wa Dodoma Jiji, Masoud Djuma na mchezaji wa timu hiyo Jamali Mtegeta wamefungiwa michezo mitatu (3) na kutozwa faini ya Sh 500,000 kila...
KISA SARE TATU MFULULIZO…MANARA AFUNGUKA MAMBO YALIVYOKUWA ‘MTIFUANO’ YANGA…
Afisa Habari wa Yanga Haji Manara amesema kuwa sare tatu mfululizo ambazo walizipata ziliwapa presha kidogo jambo ambalo liliweza kuwafanya wajipange kwa mara nyingine.Kwenye...
KIREKODI NA KITAKWIMU….MANULA ANASUBIRI SANA KWA DIARA…JAMAA ‘LIMECHEZA’ MPAKA KOMBE LA DUNIA…
Djigui Diarra amecheza michuano ya kombe la Dunia Under (20) hadi nusu fainali. Alidaka penati mbili kwenye robo fainali dhidi ya Germany na kuifanikisha...
KUELEKEA MSIMU UJAO…YANGA KUPIGA CHINI MASTAA HAWA 6…KUSHUSHA VIFAA VIPYA VINNE…MORRISON NA PHIRI NDANI…..
YANGA inaamini ina nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu na baada ya kutimiza hilo, wamepanga kufanya vizuri katika Ligi ya...
FT: AZAM FC 1-1 SIMBA SC….BOCCO KAWAOKOA TENA..MATUMAINI YA SIMBA YAZIDI KUYEYUKA…YANGA WANATAKA TISA...
MABINGWA Watetezi Simba wameshindwa kutamba ugenini dhidi ya Azam FC baada ya kutoka sare ya kufungana bao 1-1 mchezo wa Ligi Kuu ya NBC...