JEMBE JIPYA YANGA LAPEWA JEZI YA MAPINDUZI, MAZOEZI YAKE NOMA

0
 BAADA ya kutua Bongo Januari 29 na kupokelewa na shangwe kutoka kwa mashabiki na viongozi wa Yanga, Fiston Abdulazak Januari 30 alianza mazoezi rasmi...

AUBA AMPASUA KICHWA ARTETA

0
 PIERRE Emerick Aubameyang, nahodha wa kikosi cha Arsenal kwa sasa bado yupo karantini na haijulikani atarejea lini uwanjani jambo ambalo linampasua kichwa Kocha Mkuu...

MO SALAH ATUPIA MAWILI WAKATI TIMU YAKE IKISEPA NA POINTI TATU MBELE YA WEST...

0
 WEST Ham United walikubali kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya Liverpool, mchezo wa Ligi Kuu England usiku wa kuamkia Januari 31.Mshambuliaji wa Liverpool, raia...

GOMES AWAKAZIA MAZEMBE, ATAJA SABABU ZA SARE NA KUSEPA NA KOMBE

0
 DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapinzani wao TP Mazembe walikuwa imara muda wote jambo ambalo limewafanya waambulie sare kwenye mchezo wao...

KOCHA YANGA:TUTAFANYA VIZURI NDANI YA LIGI NA KOMBE LA SHIRIKISHO

0
 EDEM Mortotsi kocha wa viungo wa Klabu ya Yanga amesema kuwa anaamini kuwa timu hiyo italeta ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara, Kombe la...

AZAM FC KUKIPIGA DHIDI YA TP MAZEMBE

0
KLABU ya Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina kesho itakuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Klabu...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0
 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu 

BAADA YA SUPER CUP…BARBARA AFUNGUKA MIKAKATI HII MIKUBWA YA KUIPAISHA SIMBA KIMATAIFA..!!

0
OFISA Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara amesema ana malengo matatu makubwa mbele yake, ambayo anatakiwa kuyatimiza msimu huu.Barbara alisema malengo hayo ni kutetea ubingwa...

SIMBA MABINGWA WA SIMBA SUPER CUP, YAWASHUKURU MASHABIKI

0
MTENDAJI Mkuu wa Simba, (CEO) Barbara Gonzalez amesema kuwa mashabiki wanastahili pongezi kwa kujitokeza kwa wingi kuwashuhudia mabingwa wapya wa Simba Super Cup, Simba...

SIMBA SUPER CUP:SIMBA 0-0 TP MAZEMBE

0
 SIMBA Super Cup Uwanja wa MkapaKipindi cha KwanzaZinaongezwa dakika 2Dakika 45 TP Mazembe wanapata fauloDakika ya 43 Sheva anapaisha mpira juu kidogo ya lango ndani...