PIALALI NA TINAMPAY TAMBO TUPU MWANZO MWISHO KABLA YA VITASA
KUELEKEA pambano kali la kimataifa la ngumi kati ya Bondia Mtanzania, Idd Pialali ‘Simba’ na Mfilipino Arnel Tinampay, mambo yamepamba moto, ambapo mabondia hao...
SAKATA LA MKWANJA KUMPONZA RAIS WA CAF LAWAIBUA TFF
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa ufafanuzi juu ya kuhusishwa kwa Rais wake, Wallace Karia, katika malipo yanayodaiwa kusababisha Shirikisho la Mpira...
SIMBA:TUNATAKA KUFIKA HATUA YA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kwa msimu wa 2020/21 malengo yao makubwa ni kufika hatua ya nusu fainali.Simba...
NYOTA MZAWA ANAYEWINDWA NA YANGA ATOA YA MOYONI
NYOTA wa JKT Tanzania Adam Adam ambaye ni mshambuliaji namba mbili kwa wazawa wenye mabao mengi amesema kuwa hawakuanza msimu vizuri jambo ambalo linawafanya...
WANNE PANGA LINAWAHUSU NDANI YA MANCHESTER UNITED
MANCHESTER United ipo kwenye mchakato wa kuachana na wachezaji wanne katika dirisha dogo la Januari, mwakani ili kubalansi kwenye masuala ya mapato. Taarifa kutoka ndani...
SIMBA YATAJA MASHINE YA KAZI YA AZAM FC ITAKAYOIMALIZA YANGA KESHO
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa kwenye mchezo wa kesho kati ya watani zao wa jadi Yanga dhidi ya Azam FC kiungo,...
WAYNE ROONEY ALIKUWA ANAIFIKIRIA BARCELONA
NYOTA wa zamani wa Klabu ya Manchester United, Wayne Rooney ameweka wazi kuwa alikuwa anapenda kujiunga na Klabu ya Barcelona zama zile iliporipotiwa kwamba...
CHAGUO NAMBA MOJA KWA SVEN, ONYANGO AMEFANYA MAKOSA MATATU YALIYOSABABISHA MABAO
CHAGUO namba moja la Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck, mechi 11 zote ameanza kikosi cha kwanza ambazo Simba imecheza kwa msimu huu wa 2020/21.Amefanya makosa...
SIMON MSUVA ATAMBA KUWA STAA KWENYE CHANGAMOTO MPYA
MCHEZAJI wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva aliyesajiliwa na Wydad Casablanca ya Morocco akitokea Difaa El Jadid, amesema kuwa anaamini anakwenda kuwa staa mkubwa...
IHEFU YAJIPA MATUMAINI KUREJEA KWENYE UBORA
KOCHA Mkuu wa Ihefu FC, Zuber Katwila amesema kuwa wachezaji wake taratibu wanazidi kuimarika jambo ambalo linampa matumaini ya kufanya vizuri Kwenye mechi zake...