PROMOTA WA KIDUKU ATAFUTWA NA POLISI KWA MADAI YA UTAPELI
INAELEZWA promota wa pambano la ngumi za kulipwa kati ya Mtanzania, Twaha Kiduku na Sirimongkhon Lamthuam raia wa Thailand anatafutwa na Polisi wa kituo...
HUYU NDIYE BEKI ANAYETAKIWA NA SIMBA, BEI YAKE ACHA KABISA
UNAAMBIWA bila shilingi milioni 958 za Kitanzania, Simba haiwezi kumpata beki wa kimataifa wa Burundi anayekipiga nchini Afrika Kusini katika Klabu ya Chipa United, Frederic Nsabiyumva. Simba imekuwa ikimfuatilia mchezaji...
BALAA LA MNATA METACHA LIPO HIVI
Ameanza langoni mechi 10 amefungwa mabao matatu kati ya manne ambayo Yanga imefungwa msimu wa 2020/21.Uwanja wa CCM Kirumba alifungwa bao moja na Hassan...
ORODHA YA WACHEZAJI WA SIMBA WATAKAOIFUATA PLATEAU UNITED YA NIGERIA KIMATAIFA
ORODHA ya wachezaji wa Simba watakaoelekea nchini Nigeria kwa ajili ya mchezo wa awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Plateau United
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumanne lipo mtaani jipatie nakala yako ni jero tu
MECHI ZA SIMBA NA NAMUNGO ZAPELEKWA MBELE
BODI ya Ligi Kuu Tanzania Bara, (TPLB) imeiondoa Kwenye ratiba michezo miwili, namba 116 ambao ulikuwa ni dhidi ya Simba v KMC na mchezo...
JOHN BOCCO MFUNGAJI BORA WA MUDA WOTE LIGI KUU BARA
JOHN Bocco, mzawa na mfungaji bora wa muda wote kwa wazawa kibindoni amefikisha jumla ya mabao 130 ndani ya Ligi Kuu Bara akitumika ndani...
ISHU YA UBUTU WA USHAMBULIAJI YANGA INAFANYIWA KAZI
JUMA Mwambusi, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa tatizo la washambuliaji ndani ya kikosi chake kwa sasa wanalifanyia kazi ili kuongeza uimara katika kikosi...
LIVERPOOL YAWEKA REKODI YAKE ANFIELD
USHINDI wa mabao 3-0 walioupata Liverpool usiku wa kuamkia leo dhidi ya Klabu ya Leicester City, Uwanja wa Anfield unawafanya waweke rekodi ya kucheza...
RAIS CAF AFUNGIWA MIAKA MITANO NA FIFA
Bodi ya uendeshaji michezo ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limemfungia miaka mitano Rais wa Shirikisho la Soka Afrika, Ahmad Ahmad kujihusisha na...