ISHU YA CHAMA KUIBUKIA YANGA YAPAMBA MOTO, SIMBA WAJIBU KIVINGINE

0
 IMEFAHAMIKA kuwa kiungo mchezeshaji raia wa Zambia, Clatous Chama, amekataa mkataba wa miaka miwili Simba wenye dau la Sh milioni 150 huku watani wao wa jadi wakimtengea Sh...

MBWANA SAMATTA: SINA NAMNA, NITAIKOSA TUNISIA

0
 NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbwana Samatta, atakosekana katika mchezo wa kwanza wa kufuzu fainali za kombe la mataifa ya Africa (AFCON) dhidi ya Tunisia kufuatia majeraha...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI

0
 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi, lipo mtaani jipatie nakala yako jero tu

MAMBO MATATU YA KUFANYA ISHU YA SENZO WA YANGA KUSHIKILIWA NA POLISI

0
ANAANDIKA Saleh Jembe KATIKA hili suala la Senzo (Mbatha) na Mbaga (Hashim) kushikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za upangaji matokeo (match fixing) ni...

TANZANIA U 20 YAAMBULIA KICHAPO CHA MABAO 2-1 DHIDI YA SUDAN

0
TIMU ya Taifa ya Tanzania, chini ya miaka 20 leo Novemba 11 imekubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya timu ya Taifa ya Sudan.Mchezo...

MSHAURI WA YANGA, SENZO MATATANI KISA MATOKEO MABOVU YA SIMBA

0
 IMEELEZWA kuwa aliyekuwa Mtedaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Senzo Mbatha anashikiliwa na Polisi katika kituo cha Oysterbay kwa tuhuma za kuihujumu Simba.Habari zimeeleza...

YANGA MZIGONI NOVEMBA 15, AZAM COMPLEX

0
 BAADA ya kikosi cha Yanga kumalizana na Simba Novemba 7 Uwanja wa Mkapa kwa sare yakufungana bao 1-1 na wachezaji kupewa mapumziko kesho Novemba...

SIMBA WAPO KWENYE HESABU ZA KUMVUTA NDANI KIUNGO HUYU MATATA

0
 IMEELEZWA kuwa uongozi wa Simba upo kwenye mchakato wa kuongeza kiungo mkabaji ndani ya timu hiyo ambayo inaiwakilisha Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika...

PRINCE DUBE WA AZAM FC NA FAMILIA YAKE MAISHA YANAENDELEA

0
 PRINCE Dube akiwa  na familia yake nchini Zimbabwe ambapo ameitwa timu ya Taifa ya Zimbabwe.Nyota huyu anakipiga timu ya Azam FC vinara wa Ligi...

WASHAMBULIAJI WAWILI STARS KUIKOSA TUNISIA

0
  ADAM Adam mshambuliaji anayeongoza kwa mabao kwa upande wa wazawa katika Ligi Kuu Tanzania Bara  akiwa nayo 6 hakuambatana na timu ya Taifa ya...