STAILI MPYA SIMBA YA KUKABA SI MCHEZO

0
KWA mara ya kwanza jana Simba imeonyesha kwamba wao ni levo nyingine kabisa baada ya kucheza mechi mbili asubuhi na jioni na kupiga mabao...

MTIBWA SUGAR INA KAZI KWENYE SAFU YA ULINZI, KOCHA HANA MASHAKA

0
DICKSON Job, beki chipukizi ndani ya Mtibwa Sugar, Kocha Mkuu Zubeir Katwila amemwani na kumpa mikoba ya kuwa kiongozi wa safu ya ulinzi.Ikiwa imecheza...

REAL MADRID,CHELSEA ZAKUTANA KWA KIUNGO KAI

0
KAI Havertz, kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Bayer Leverkusen anatajwa kuwindwa na Klabu ya Real Madrid iliyo chini ya Kocha Mkuu, Zinadine Zidane.Inaelezwa kuwa...

YANGA: TUPO TAYARI KUIVAA MWADUI FC, WAMSHUKURU MUNGU KUWALINDA

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya Mwadui FC utakaopigwa Juni 13 Uwanja wa Kambarage.Akizungumza...

KMC YAGOMEA KUSHUKA DARAJA, YATAJA MBINU WATAKAZOTUMIA KUBAKI

0
UONGOZI wa KMC umesema kuwa utapambana kwa nguvu zote kuhakikisha timu inabaki ndani ya Ligi Kuu Bara msimu huu wa 2019/20. KMC ipo nafasi...

BALAA LA DAVID MOLINGA NDANI YA LIGI LIPO NAMNA HII

0
DAVID Molinga ni mshambuliaji ambaye amekuwa na balaa ndani ya uwanja licha ya wengi kuamini kwamba ni mzito akiwa uwanjani kutokana na kudaiwa kuwa...

JONAS MKUDE AFUNGUKA HALI YAKE ..AWAOMBA MASHABIKI KUMUOMBEA

0
Kiungo wa Simba, Jonas Mkude amesema hali yake bado ni mbaya na kuwaomba mashabiki wake waendelee kumuombea ili afya yake iimarike.Mkude aliumia juzi jioni...

HAJI MANARA ATAJA SIKU YA KUACHA KAZI NDANI YA SIMBA

0
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Klabu ya Simba amesema kuwa ataacha kazi yake ndani ya klabu hiyo siku Yanga itakapochukua ubingwa.Manara amesema kuwa kikosi...

HALI YA MKUDE BADO HAIJAWA SHWARI, KOCHA HAELEWI ATAREJEA LINI UWANJANI

0
SVEN Vandebroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa bado kwa sasa ni ngumu kuzungumza hali ya kiungo wake Jonas Mkude ambaye aliumia Juni 8,...