AZAM FC YAKWAMA MBELE YA KMC UHURU

0
 JUMA Kaseja, nahodha wa Klabu ya  KMC leo Novemba 21 ameongoza kikosi chake kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC kwenye...

KIKOSI CHA AZAM FC KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA KMC, UWANJA WA UHURU

0
 KIKOSI cha Azam FC kitakachoanza leo dhidi ya KMC Uwanja wa Uhuru mchezo wa Ligi Kuu Bara 

VPL: COASTAL UNION 0-5 SIMBA

0
Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Novemba 21Coastal Union 0-5 SimbaZinaongezwa 2Dakika ya 45 Morrison anapiga faulo haizai matundaDakika ya 40 kipa wa Coastal Union anapewa...

KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA COASTAL UNION, ERASTO NYONI NDANI

0
 Kikosi cha Simba kitakachoanza leo Novemba 21 dhidi ya Coastal Union ya Tanga mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.Mkongwe Erasto...

JEMBE JIPYA LA YANGA, MTAMBO WA KUTUPIA LAFANYIWA DUA

0
 INAELEZWA kuwa baadhi ya mashabiki wa soka Burundi wamepanga kumuaga kwa dua staa wa nchi hiyo Said Ntibazonkiza wakati akiwa anakuja Bongo kuungana na...

NYOTA WA SIMBA AONDOLEWA KWENYE KIKOSI NA FAMILIA

0
 KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroek, amesema beki wa timu hiyo, Gadiel Michael amepata matatizo ya kifamilia jambo ambalo linamfanya akosekane ndani ya kikosi. Gadiel...

ISCO ATAKA KUSEPA NDANI YA REAL MADRID

0
FRANCISCO Roman Alarcon Suarez maarufu kama Isco, kiungo wa Klabu ya Real Madrid imeripotiwa kwamba anahitaji kuondoka ndani ya timu hiyo inayoshiriki La Liga.Akiwa...

HAALAD AWAFUNIKA SANCHO, ANSU, FODEN

0
ERLING Haaland amemshinda mchezaji mwenzake ndani ya Klabu ya Borusia Dortmund, Jadon Sancho kwenye tuzo ya Golden Boy baada ya kufanikiwa kuinyakua nyota.Tuzo hiyo...

YANGA YATAJA MITAMBO YA USHINDI DHIDI YA NAMUNGO

0
 CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa viungo wake kwa sasa wameshikilia ushindi kwenye mechi zake zote atakazoingia uwanjani ikiwa ni pamoja na...

BERNARD MORRISON, CHAMA WATUMIWA UJUMBE NA WAGOSI WA KAYA

0
 BEKI tegemeo ndani ya kikosi cha Coastal Union, Hance Masoud, amesema kuwa hawana hofu na mchezo wao wa leo dhidi ya Simba Uwanja wa...