REKODI YA SIMBA KUTIBULIWA NA MWADUI YAMPA SOMO KAZE

0
 CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa ataingia uwanjani leo Desemba 12 kwa tahadhari kubwa wakati wakusaka pointi tatu mbele ya Mwadui FC...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI

0
 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumamosi usipange kukosa nakala yako 800 tu

MTIBWA SUGAR YAINYOOSHA KMC JAMHURI, MOROGORO

0
 KIKOSI cha Mtibwa Sugar leo Desemba 11 kimeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja...

KIUNGO ALIYEWAVURUGAVURUGA SIMBA AKUBALI KUTUA YANGA

0
 KAULI aliyoitoa kiungo wa Plateau United ya Nigeria, Isah Ndala akisema amekubali kutua Yanga endapo klabu hiyo itafuata taratibu zote za kumsajili katika dirisha...

SIMBA KUIFUATA MBEYA CITY LEO

0
KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Sven Vandenbroeck leo Desemba 11 kimeanza safari kuelekea Mbeya.Kitashuka Uwanja wa Sokoine Desemba 13 kumenyana na Mbeya City ambayo...

NYOTA MPYA YANGA:UZOEFU UTANIBEBA

0
 NYOTA mpya wa Klabu ya Yanga kiungo mshambuliaji Said Ntibanzokinza amesema kuwa ana amini kuwa anaweza kufanya vizuri ndani ya Ligi kwa kuwa ana...

MASHINE MPYA SIMBA YAPEWA PROGRAMU MAALUMU

0
 BAADA ya kutua Simba, kiungo mpya wa timu hiyo, Taddeo Lwanga amepewa program maalum na kocha wake, Sven Vandenbroeck ili kuhakikisha anakuwa fiti zaidi. Lwanga...

POGBA ATAKIWA KUMFUTA KAZI WAKALA WAKE

0
 KIUNGO wa zamani wa Man United ambaye kwa sasa ni mchambuzi wa soka katika kituo cha BT Sport, Paul Scholes, ameeleza kuwa Paul Pogba anatakiwa kumzuia wakala wake, Mino Raiola, kutotoa maneno...

MANARA AFUNGA NDOA, APEWA WOSIA NA KIKWETE

0
OFISA Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara, usiku wa kuamkia leo Desemba 10, amefunga ndoa na mkewe Naheeda, katika msikiti wa Masjid Maamur. Ndoa...

MARCUS RASHFORD AFURAHIA MAISHA YA MANCHESTER UNITED

0
NYOTA wa Klabu ya Manchester United, Marcus Rashford amesema kuwa anahitaji kumaliza maisha yake ya mpira wa ushindani akiwa ndani ya timu hiyo kwa...