HAJI Manara, Ofisa Habari wa Klabu ya Simba amesema kuwa ataacha kazi yake ndani ya klabu hiyo siku Yanga itakapochukua ubingwa.
Manara amesema kuwa kikosi chao kipana na kina uwezo wa kushindana ndani ya ligi jambo ambalo linampa nguvu ya kuongea hayo.
“Siku ambayo Yanga itachukua ubingwa ndiyo siku ambayo nitaacha masuala ya kuwa Msemaji wa Simba,” amesema Haji.
Simba ipo nafasi ya kwanza ikiwa na pointi 71 baada ya kucheza mechi 28 za ligi.
Chanzo: Wasafi
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.