ORODHA YA NYOTA SABA WA SIMBA WATAKAOIKOSA DABI LEO KWA MKAPA

0
 LEO Kikosi cha Simba kitakuwa na kazi ya kusaka pointi tatu muhimu mbele ya watani zao wa jadi Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu...

MPINZANI WA MWAKINYO ATIA TIMU BONGO KUTOKA ARGENTINA NA TAMBO KIBAO

0
 JOSE Carlos Paz, atakayezichapa na Hassan Mwakinyo Novemba 13 kwenye ukumbi wa Next Door Arena Oysterbay amewasili na kutamba kutwaa ubingwa wa uzito wa...

SERIKALI YAWAPA ONYO WANG’OA VITI KWENYE DABI YA KESHO

0
KUELEKEA mchezo wa watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba, Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, ametoa...

U 17 YABANWA MBAVU LEO AFRIKA KUSINI

0
 BAADA ya mchezo wa kwanza wa wa ufunguzi kwenye mashindano ya Cosafa yanayofanyika nchini Afrika Kusini leo timu ya Taifa ya Wanawake ya U...

MTIBWA SUGAR: MSIMU HUU USHINDANI NI MKUBWA

0
 THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2020/21 ni mkubwa jambo ambalo linalowapa...

CHAMA KUIKOSA YANGA UWANJA WA MKAPA KESHO

0
 MAMBO ni mazito kwa mabingwa watetezi Simba ambao kesho wanakutana na Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Mkapa na huenda kesho...

KOCHA SIMBA HANA CHAGUO LA KWANZA

0
 KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, amewachambua washambuliaji wake wote, huku akidai kuwa bado hana chaguo la kwanza na kudai kwamba atawatumia kulingana...

KOCHA YANGA AWAPIGA MKWARA SIMBA, KUMALIZA KAZI DAKIKA 20 KESHO

0
 KOCHA Mkuu wa Yanga, Mrundi, Cedric Kaze, amewaambia vijana wake kuwa, katika mchezo wa kesho Jumamosi dhidi ya Simba, anataka bao ndani ya dakika...

MTAMBO WA MABAO SIMBA HATMA YAKE KUIVAA YANGA KESHO MIKONONI MWA SVEN

0
 MSHAMBULIAJI wa Simba, Mkongomani, Chris Mugalu, amerejesha matumaini kwenye kikosi cha timu hiyo katika kuelekea Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga, Jumamosi hii kwenye...

ORODHA YA WAAMUZI NANE WA YANGA V SIMBA KESHO HII HAPA

0
 KESHO Novemba 7 Uwanja wa Mkapa kutakuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Simba majira ya saa 11:00 jioni.  Hii...