VITA YA KIATU CHA UFUNGAJI BORA IMEANZA MAPEMA
MEDDIE Kagere mshambuliaji namba moja ndani ya Simba kwa msimu wa 2020/21 ana kazi ya kufanya kutetea kiatu chake cha ufungaji bora kutokana na...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la Spoti Xtra Jumapili, lipo mtaani
UJUMBE WA JEMBE KWENDA KWA HAJI MANARA WA SIMBA
Anaandika Saleh Jembe kwenda kwa Haji Manara namna hii:-HAJI Manara umekuwa kivutio kwa vijana wengi kutamani kuwa wasemaji wa klabu, kazi ambayo miaka minne tu...
YANGA WATAJA SABABU YA KUCHEZA MECHI ZA KIRAFIKI
ANTONIO Nugaz, Ofisa Uhamasishaji ndani ya Klabu ya Yanga ambaye leo Oktoba 10 ni kumbukizi yake ya kuletwa duniani, amesema kuwa sababu kubwa ya...
KUWAONA VINARA WA LIGI WAKIKIPIGA DHIDI YA MAFUNZO BUKU MBILI
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC leo Oktoba 10 wana kibarua cha kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar.Mchezo huo...
SIMBA KUKIPIGA DHIDI YA NDANDA, AZAM COMPLEX
KIKOSI cha Simba chenye mastaa wenye ushkaji na nyavu ikiwa ni pamoja na Chris Mugalu, Meddie Kagere, Clatous Chama kina kazi ya kuyeyusha dakika...
TAIFA STARS: TUNAWEKA REKODI KESHO KWA MKAPA
SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, amesema kuwa wataandika rekodi mpya Uwanja wa Mkapa kwa kupata ushindi ikiwa...
DEMBELE YEYE ANAPIGA MAZOEZI TU
NYOTA wa Barcelona, Ousmane Dembele amelazimika kufanya mazoezi peke yake baada ya mapumziko ya muda wa siku nne kwa timu yake ya Barcelona kutokana...
YANGA: TIMU NYINGI ZINATUKAMIA,ILA HATUOGOPI
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mechi za ligi pamoja na nyingine zote bila kujali inakutana na nani ndani ya...
KOCHA GOR MAHIA AACHIA NGAZI
MABINGWA wa Ligi Kuu ya Kenya Gor Mahia wameachana na kocha Steven Polack. Gor Mahia wamethibitisha kuwa wameachana na Kocha Mkuu Steven Polack kwa...