UCHEBE AMPOTEZA JUMLAJUMLA SVEN NDANI YA SIMBA

0
 SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amepotezwa mazima na mtangulizi wake wa zamani, Patrick Aussems, ‘Uchebe’ ambaye alimuachia mikoba yake baada ya kupigwa chini...

SABABU YA MANARA KULIPA MILIONI TANO TFF MAPEMA HII HAPA

0
 HAJI Manara, Ofisa Habari wa Simba, amesema kuwa sababu kubwa ya kulipa faini ya milioni tano mapema ni kuheshimu maamuzi yaliyotolewa na Kamati ya...

MECHI YA KIRAFIKI: YANGA 2-0 MLANDEGE

0
Yanga 2-0 MlandegeUwanja wa Azam ComplexDakika ya 61 Yanga wanapeleka mashambulizi kwa Mlandege Goal dakika ya 59, Tunombe Mukoko Dakika ya 50MCHEZO wa kirafiki leo Septemba...

KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA MLANDEGE FC, UWANJA WA AZAM COMPLEX

0
 KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Mlandege FC, Uwanja wa Mkapa 

KOCHA YANGA AWAPIGA MKWARA WACHEZAJI WAKE KISA PASI NDEFU

0
 KOCHA Mkuu wa Yanga Mserbia, Zlatko Krmpotic amewapiga ‘stop’ wachezaji wake kucheza soka la pasi ndefu na badala yake kucheza pasi fupifupi wakati wakiwa...

HAJI MANARA ALIPA FAINI YA MILION 5 TFF LEO

0
 HAJI Manara, Ofisa Habari wa Simba, leo Septemba 16 amelipa faini ya shilingi miloni 5 aliyopigwa na Kamati ya Maadili ya Shirikisho aSoka Tanzania,(TFF). Manara...

BIASHARA UNITED KAMILI KUMALIZANA NA SIMBA

0
GERALD Mdamu, kiungo mshambuliaji ndani ya Klabu ya Biashara United amesema kuwa wamejipanga kufanya vema kwenye mechi zao zote za Ligi Kuu Bara ikiwa...

ASTON VILLA YAMALIZANA NA KIPA WA ARSENAL

0
KLABU ya Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu England imethibitisha kupata saini ya mlinda mlango aliyekuwa anakipiga Arsenal, Emiliano Martinez kwa mkataba wa miaka minne...

KINACHOMZUIA KAGERE KUONDOKA SIMBA HIKI HAPA

0
 PATRICK Gakumba, wakala wa mshambuliaji namba moja ndani ya Simba, Meddie Kagere amesema kuwa amepokea ofa nyingi kutoka timu tofauti zikitaka saini ya mchezaji...

KCB YASAINI MKATABA WA MWAKA MMOJA KUDHAMINI LIGI KUU TANZANIA BARA

0
BENKI ya KCB leo Septemba 16, imesaini mkataba na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), kwa ajili ya kudhamini Ligi Kuu Bara, kwa mkataba wa...