VPL:YANGA O-0 MBEYA CITY

0
 MCHEZO unaoendelea kwa sasa Uwanja wa Mkapa wa Ligi Kuu Bara ni kati ya Yanga dhidi ya Mbeya City ya Mbeya. Kipindi ni cha...

KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA MBEYA CITY UWANJA WA MKAPA

0
 LEO Septemba 12, Yanga itawakaribisha Mbeya City Uwanja wa Mkapa majira ya saa 1:00 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.Hiki hapa kikosi cha Yanga...

MUZIKI WA YANGA NDANI YA DAKIKA 900 SI MCHEZO, KAZI INAANZA LEO

0
 KAZI ndiyo imeanza kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic raia wa Serbia kuirudisha timu hiyo kwenye furaha kwa kuanza kutwaa ubingwa wa Ligi...

KMC WANA MOTO KWELI NDANI YA LIGI KUU BARA, YAFUNGA MABAO 6

0
 KLABU ya KMC imeendeleza moto wake ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kuinyoosha mabao 2-1 wapinzani wa Tanzania Prisons, kwenye mchezo wa Ligi Kuu...

KIBANO KIZIMA CHA SIMBA MBELE YA MTIBWA SUGAR KILIKWENDA KWA MWENDO HUU

0
 MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, jana walibanwa mbavu mbele ya Mtibwa Sugar kwenye mchezo wao wa pili mzunguko wa pili kwa kufungana...

LIVERPOOL V LEEDS WATAJWA KUWA MCHEZO WENYE USHINDANI EPL

0
 MCHEZO wa ufunguzi wa Ligi Kuu England kati ya Liverpool dhidi ya Leeds United uliochezwa Uwanja wa Anfield na mabingwa hao watetezi kuibuka na...

YANGA V MBEYA CITY LEO KWA MKAPA KUSAKA POINTI TATU

0
KWA Msimu wa 2019/20 mechi zote mbili kati ya Yanga v Mbeya City hakuna mbabe aliyesepa na pointi tatu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara.Mchezo...

SVEN ATAJA KINACHOISUMBUA TIMU YAKE KWA SASA

0
JANA  Jumamosi, Septemba 12, Simba ilibanwa mbavu na Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro, Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck, amemtaja mchawi...

ISHU YA JEZI, YANGA YAIPIGA DONGO KIMTINDO SIMBA

0
 MSHAURI wa Yanga, Senzo Mazingiza raia wa Afrika Kusini, ameibuka na kusema kuwa utengenezaji wa jezi za timu hiyo umetumia ubunifu wa kiwango cha...

RAIS LA LIGA: ILIKUWA NGUMU KUMUACHIA MESSI

0
 RAIS wa Ligi Kuu ya Hispania, La Liga, Javier Tebas, amesema kuwa kwao ilikuwa ni ngumu kumuachia mchezaji staa wa ligi hiyo, Lionel Messi...